Kwanini wana Yanga SC Wenzangu tulikuwa tunaombea Taifa Stars ifungwe na hata wengi wetu baada tu ya Matokeo tumenuna?

Kwanini wana Yanga SC Wenzangu tulikuwa tunaombea Taifa Stars ifungwe na hata wengi wetu baada tu ya Matokeo tumenuna?

Kinachonisikitisha tu ni kwamba kila ninapopita nawaona Mashabiki wa Simba na Azam wakifurahia Kilichotokea muda si mrefu huko nchi yenye Joto Kali Barani Afrika lakini kwa Mashabiki wenzangu wa Yanga SC yetu wote nawaona wamenuna mno na hata kabla ya Mtanange ndiyo waliokuwa wakizungumza sana na kuiombea Mabaya Timu yetu ya Taifa ila Mwenyezi Mungu amewakatalia.

Halafu ni kwanini lakini hawa Wachezaji wetu wa Yanga SC waliopo Taifa Stars akina Abdallah Makame na Faisal Salum pamoja na akina Metacha Mnata na hata Kelvin Yondan huwa hawana Mchango sana katika Timu kama walionao Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC kama akina Jonas Mkude, Muzamir Yassin, Erasto Nyoni na Hassan Dilunga? Na Siku zote ni hawa hawa Wachezaji wa Simba SC ndiyo huwa wanaikoa na hadi Kuing'arisha Taifa Stars.

Japo Mimi ni mwana Yanga SC kabisa tena mwenye Kadi yangu ya mwaka 1990 lakini kwa huu mwenendo wa kila Siku naona tu Wachezaji wa Simba SC ndiyo wanafanye vyema katika Kikosi cha Taifa Stars naweza muda wowote kuanzia sasa nikahamia Simba SC. Na kama kweli Sisi wana Yanga SC ni Wanamichezo hasa namuomba kila mwana Yanga SC hapo alipo amuamkie Beki Erasto Nyoni kama Heshima Kubwa Kwake kwa Kufunga lile Goli zuri ambalo tokea niijue Yanga SC yangu sijawahi Kumuona Mchezaji wetu yoyote yule akifunga sana sana kila mara nashuhudia tu Wachezaji wetu Yanga SC wakiwa wanajifunga tu wenyewe.

Ila huyu Jonas Gerald Mkude kweli ni ' Injini ' kabisa katika Dimba la Kati hadi natamani ahamie Kwetu Yanga SC ila tatizo ni moja tu kuwa Yanga SC ni Masikini hatuwezi Kumlipa kama ambavyo analipwa Kitajiri kabisa huko kwa Watani zetu na wanaojua Mpira kuliko Sisi Simba SC. Na huyu Erasto Nyoni yaani anaujua Mpira hadi anakera sasa kiasi kwamba hata Beki wetu Yanga SC Lamine Moro hamfikii kabisa.

au kama vipi wana Yanga SC wote tuhamieni zetu rasmi kunako Simba Sports Club kwani huko ndiko Kumenoga hasa tu.

Hii siyo tu kwamba ni propaganda ya 'kitoto' bali ni ya 'kijinga' pia
 
Kinachonisikitisha tu ni kwamba kila ninapopita nawaona Mashabiki wa Simba na Azam wakifurahia Kilichotokea muda si mrefu huko nchi yenye Joto Kali Barani Afrika lakini kwa Mashabiki wenzangu wa Yanga SC yetu wote nawaona wamenuna mno na hata kabla ya Mtanange ndiyo waliokuwa wakizungumza sana na kuiombea Mabaya Timu yetu ya Taifa ila Mwenyezi Mungu amewakatalia.

Halafu ni kwanini lakini hawa Wachezaji wetu wa Yanga SC waliopo Taifa Stars akina Abdallah Makame na Faisal Salum pamoja na akina Metacha Mnata na hata Kelvin Yondan huwa hawana Mchango sana katika Timu kama walionao Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC kama akina Jonas Mkude, Muzamir Yassin, Erasto Nyoni na Hassan Dilunga? Na Siku zote ni hawa hawa Wachezaji wa Simba SC ndiyo huwa wanaikoa na hadi Kuing'arisha Taifa Stars.

Japo Mimi ni mwana Yanga SC kabisa tena mwenye Kadi yangu ya mwaka 1990 lakini kwa huu mwenendo wa kila Siku naona tu Wachezaji wa Simba SC ndiyo wanafanye vyema katika Kikosi cha Taifa Stars naweza muda wowote kuanzia sasa nikahamia Simba SC. Na kama kweli Sisi wana Yanga SC ni Wanamichezo hasa namuomba kila mwana Yanga SC hapo alipo amuamkie Beki Erasto Nyoni kama Heshima Kubwa Kwake kwa Kufunga lile Goli zuri ambalo tokea niijue Yanga SC yangu sijawahi Kumuona Mchezaji wetu yoyote yule akifunga sana sana kila mara nashuhudia tu Wachezaji wetu Yanga SC wakiwa wanajifunga tu wenyewe.

Ila huyu Jonas Gerald Mkude kweli ni ' Injini ' kabisa katika Dimba la Kati hadi natamani ahamie Kwetu Yanga SC ila tatizo ni moja tu kuwa Yanga SC ni Masikini hatuwezi Kumlipa kama ambavyo analipwa Kitajiri kabisa huko kwa Watani zetu na wanaojua Mpira kuliko Sisi Simba SC. Na huyu Erasto Nyoni yaani anaujua Mpira hadi anakera sasa kiasi kwamba hata Beki wetu Yanga SC Lamine Moro hamfikii kabisa.

au kama vipi wana Yanga SC wote tuhamieni zetu rasmi kunako Simba Sports Club kwani huko ndiko Kumenoga hasa tu.

Hii siyo tu kwamba ni propaganda ya 'kitoto' bali ni ya 'kijinga' pia
 
Kinachonisikitisha tu ni kwamba kila ninapopita nawaona Mashabiki wa Simba na Azam wakifurahia Kilichotokea muda si mrefu huko nchi yenye Joto Kali Barani Afrika lakini kwa Mashabiki wenzangu wa Yanga SC yetu wote nawaona wamenuna mno na hata kabla ya Mtanange ndiyo waliokuwa wakizungumza sana na kuiombea Mabaya Timu yetu ya Taifa ila Mwenyezi Mungu amewakatalia.

Halafu ni kwanini lakini hawa Wachezaji wetu wa Yanga SC waliopo Taifa Stars akina Abdallah Makame na Faisal Salum pamoja na akina Metacha Mnata na hata Kelvin Yondan huwa hawana Mchango sana katika Timu kama walionao Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC kama akina Jonas Mkude, Muzamir Yassin, Erasto Nyoni na Hassan Dilunga? Na Siku zote ni hawa hawa Wachezaji wa Simba SC ndiyo huwa wanaikoa na hadi Kuing'arisha Taifa Stars.

Japo Mimi ni mwana Yanga SC kabisa tena mwenye Kadi yangu ya mwaka 1990 lakini kwa huu mwenendo wa kila Siku naona tu Wachezaji wa Simba SC ndiyo wanafanye vyema katika Kikosi cha Taifa Stars naweza muda wowote kuanzia sasa nikahamia Simba SC. Na kama kweli Sisi wana Yanga SC ni Wanamichezo hasa namuomba kila mwana Yanga SC hapo alipo amuamkie Beki Erasto Nyoni kama Heshima Kubwa Kwake kwa Kufunga lile Goli zuri ambalo tokea niijue Yanga SC yangu sijawahi Kumuona Mchezaji wetu yoyote yule akifunga sana sana kila mara nashuhudia tu Wachezaji wetu Yanga SC wakiwa wanajifunga tu wenyewe.

Ila huyu Jonas Gerald Mkude kweli ni ' Injini ' kabisa katika Dimba la Kati hadi natamani ahamie Kwetu Yanga SC ila tatizo ni moja tu kuwa Yanga SC ni Masikini hatuwezi Kumlipa kama ambavyo analipwa Kitajiri kabisa huko kwa Watani zetu na wanaojua Mpira kuliko Sisi Simba SC. Na huyu Erasto Nyoni yaani anaujua Mpira hadi anakera sasa kiasi kwamba hata Beki wetu Yanga SC Lamine Moro hamfikii kabisa.

au kama vipi wana Yanga SC wote tuhamieni zetu rasmi kunako Simba Sports Club kwani huko ndiko Kumenoga hasa tu.

Mtu kama wewe nadhani ni hatari kwa umoja wa taifa kwa kuleta hoja za 'kitoto' na za kizushi..Hujui mpira, huijui Yanga wala simba...nadhani bado ni mtoto mdogo usiyejua madhara ya hoja za aina hii...unachukulia masuala mazito ya kitaifa kwa mzaha na usijue madhara yake...
 
Kinachonisikitisha tu ni kwamba kila ninapopita nawaona Mashabiki wa Simba na Azam wakifurahia Kilichotokea muda si mrefu huko nchi yenye Joto Kali Barani Afrika lakini kwa Mashabiki wenzangu wa Yanga SC yetu wote nawaona wamenuna mno na hata kabla ya Mtanange ndiyo waliokuwa wakizungumza sana na kuiombea Mabaya Timu yetu ya Taifa ila Mwenyezi Mungu amewakatalia.

Halafu ni kwanini lakini hawa Wachezaji wetu wa Yanga SC waliopo Taifa Stars akina Abdallah Makame na Faisal Salum pamoja na akina Metacha Mnata na hata Kelvin Yondan huwa hawana Mchango sana katika Timu kama walionao Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC kama akina Jonas Mkude, Muzamir Yassin, Erasto Nyoni na Hassan Dilunga? Na Siku zote ni hawa hawa Wachezaji wa Simba SC ndiyo huwa wanaikoa na hadi Kuing'arisha Taifa Stars.

Japo Mimi ni mwana Yanga SC kabisa tena mwenye Kadi yangu ya mwaka 1990 lakini kwa huu mwenendo wa kila Siku naona tu Wachezaji wa Simba SC ndiyo wanafanye vyema katika Kikosi cha Taifa Stars naweza muda wowote kuanzia sasa nikahamia Simba SC. Na kama kweli Sisi wana Yanga SC ni Wanamichezo hasa namuomba kila mwana Yanga SC hapo alipo amuamkie Beki Erasto Nyoni kama Heshima Kubwa Kwake kwa Kufunga lile Goli zuri ambalo tokea niijue Yanga SC yangu sijawahi Kumuona Mchezaji wetu yoyote yule akifunga sana sana kila mara nashuhudia tu Wachezaji wetu Yanga SC wakiwa wanajifunga tu wenyewe.

Ila huyu Jonas Gerald Mkude kweli ni ' Injini ' kabisa katika Dimba la Kati hadi natamani ahamie Kwetu Yanga SC ila tatizo ni moja tu kuwa Yanga SC ni Masikini hatuwezi Kumlipa kama ambavyo analipwa Kitajiri kabisa huko kwa Watani zetu na wanaojua Mpira kuliko Sisi Simba SC. Na huyu Erasto Nyoni yaani anaujua Mpira hadi anakera sasa kiasi kwamba hata Beki wetu Yanga SC Lamine Moro hamfikii kabisa.

au kama vipi wana Yanga SC wote tuhamieni zetu rasmi kunako Simba Sports Club kwani huko ndiko Kumenoga hasa tu.
Mimi kama mwanayanga kadi namba ××××× NAWEKA MKONO JUU, NAMUAMKIA ERASTO: SHIKAMOO MZEE BABA....
 
Huna akili wewe, hujitambui mbumbumbu fc
Kwani na Wewe ni mwana Yanga SC Mwenzangu / Mwenzetu Ndugu? Vipi umelionaje lile Goli la Mchezaji wa Wapinzani wetu wa Jadi Simba Sports Club alilolifunga Erasto Nyoni? Hivi na Sisi Yanga SC hatuwezi Kuwaomba Simba SC watuazime ili tarehe 27 asaidiane na Kelvin Yondan ' Cotton ' ili Mwarabu ( Pyramids ) afungwe nasi pale CCM Kirumba Mkoani Mwanza? Sijui ni kwanini japo ni mwana Yanga SC ila kila nikiona Kikosi cha Taifa Stars kina Wachezaji wengi wa Simba SC huwa nafurahi na naomba Mungu Wachezaji wetu wa Yanga SC walioko huko Stars hata wasiwe wanapangwa kwani hawana jipya, la maana na isitoshe naona kama vile hawajui hata Mpira wenyewe na wanabahatisha tu wakati hawa Wachezaji wa Simba SC wote ukiwaangalia unaona wana Vipaji binafsi na wamebarikiwa sana na Maulana / Mola.

Sijui nihamie tu rasmi Simba SC na niachane na hii Yanga SC yangu!
 
Kinachonisikitisha tu ni kwamba kila ninapopita nawaona Mashabiki wa Simba na Azam wakifurahia Kilichotokea muda si mrefu huko nchi yenye Joto Kali Barani Afrika lakini kwa Mashabiki wenzangu wa Yanga SC yetu wote nawaona wamenuna mno na hata kabla ya Mtanange ndiyo waliokuwa wakizungumza sana na kuiombea Mabaya Timu yetu ya Taifa ila Mwenyezi Mungu amewakatalia.

Halafu ni kwanini lakini hawa Wachezaji wetu wa Yanga SC waliopo Taifa Stars akina Abdallah Makame na Faisal Salum pamoja na akina Metacha Mnata na hata Kelvin Yondan huwa hawana Mchango sana katika Timu kama walionao Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC kama akina Jonas Mkude, Muzamir Yassin, Erasto Nyoni na Hassan Dilunga? Na Siku zote ni hawa hawa Wachezaji wa Simba SC ndiyo huwa wanaikoa na hadi Kuing'arisha Taifa Stars.

Japo Mimi ni mwana Yanga SC kabisa tena mwenye Kadi yangu ya mwaka 1990 lakini kwa huu mwenendo wa kila Siku naona tu Wachezaji wa Simba SC ndiyo wanafanye vyema katika Kikosi cha Taifa Stars naweza muda wowote kuanzia sasa nikahamia Simba SC. Na kama kweli Sisi wana Yanga SC ni Wanamichezo hasa namuomba kila mwana Yanga SC hapo alipo amuamkie Beki Erasto Nyoni kama Heshima Kubwa Kwake kwa Kufunga lile Goli zuri ambalo tokea niijue Yanga SC yangu sijawahi Kumuona Mchezaji wetu yoyote yule akifunga sana sana kila mara nashuhudia tu Wachezaji wetu Yanga SC wakiwa wanajifunga tu wenyewe.

Ila huyu Jonas Gerald Mkude kweli ni ' Injini ' kabisa katika Dimba la Kati hadi natamani ahamie Kwetu Yanga SC ila tatizo ni moja tu kuwa Yanga SC ni Masikini hatuwezi Kumlipa kama ambavyo analipwa Kitajiri kabisa huko kwa Watani zetu na wanaojua Mpira kuliko Sisi Simba SC. Na huyu Erasto Nyoni yaani anaujua Mpira hadi anakera sasa kiasi kwamba hata Beki wetu Yanga SC Lamine Moro hamfikii kabisa.

au kama vipi wana Yanga SC wote tuhamieni zetu rasmi kunako Simba Sports Club kwani huko ndiko Kumenoga hasa tu.
Viungo ni kutoka Azam tu Mudhari na Sure Boy huyo Mkude hana lolote
 
Viungo ni kutoka Azam tu Mudhari na Sure Boy huyo Mkude hana lolote

Ngoja nimsubirie Mwanangu mwenyewe Mkude atue leo ili Kesho tutimbe zetu Viwanja kula Bata. Kama Mkude hana lolote mbona hujiulizi ni kwanini tokea alipoitwa Stars baada ya Kufukuzwa kwa Mpuuzi wenu Amunike panga pangua Yeye ndiyo Injini Kuu ya Timu na hajawahi Kukaa Benchi au hata Kufanyiwa ' Sub ' katika Mechi zake zote alizocheza? Umeshajiuliza ni kwanini labda? Ukiona hadi An Eagle namkubali Mtu jua 100% yupo vyema na kwa Tanzania hii bado sijamwona Namba Sita bora na Yule anayecheza kama Mimi ninavyotaka katika hiyo nafasi kama Mdogo wangu, Rafiki yangu na Kijana ambaye akiwa mdogo alikuwa akija sana Kunitizama An Eagle nikicheza Mpira pale Kinondoni Biafra karibu na Kwao, Uwanja wa Magunia Msasani katika Ligi, Msimbazi, Karume na hadi katika Ndondo. Wengine kama tungeamua Kucheza Mpira huenda leo hii tungekuwa kama akina Viera au Deco au Pirlo ila sema tu mambo ya Kitaaluma na Mikwara ya Wazazi enzi hizo ndizo zilituzuia. Nikikuambia Mchezaji fulani hajui Mpira amini na nikikuambia Mchezaji fulani anaujua amini. Kwa Kuanzia tu kama kuna Mchezaji ambaye kama Yanga SC wakimjenga vyema, wakimuamini na Kumtuza wanaweza wakaja Kumuuza kwa Bei Kubwa hata Ulaya endapo na Yeye pia atajitambua basi ni Beki wao Chipukizi Namba Mbili Paul Godfrey a.k.a Boksa kwani ana Kipaji cha hali ya Juu halafu anacheza ila Namba mbili yenyewe kabisa aliyokuwa akiicheza Cafu wa Brazil.

Nadhani ulimwona Jana Mkude alivyokuwa ' akitakata ' kama kawaida yake katika Dimba la Kati Ndugu. Utanuna sana tu!
 
Viungo ni kutoka Azam tu Mudhari na Sure Boy huyo Mkude hana lolote
Hii ni "CHUKI" NA "DHARAU"

Mkude ni mchezaji mzuri ila watu hawampendi ana damu ya KUNGUNI na miaka yote yupo na kiwango chake safi

Lakin kumbukeni kadumu first eleven ya Simba miaka na miaka wamekuja wachezaji kila aina wameshindwa kuchukua no yake

Ni Mtanzania mwenzetu tumpe matumaini afanyapo vizuri na pia afanyapo vibaya tumkosoe tuache tabia za chuki na dharau kwa vijana wetu

Unasema Mkude hamna kitu kwani kitu gani kibaya alifanya hapo jana au mechi zilizopita ??

Timu imeshinda akiwemo ndani bado unamdiss sasa ingefungwa ingekuaje

Ingependeza useme wapi anakosea ili ajirekebishe ningekuona una thamini mchango wake

SIKUJUI UNIJUI ILA SIO TABIA NZURI KUMDHARAU MTU
WATANZANIA TUACHE HIZI TABIA CHUKI NA DHARAU HAZIJENGI
 
Mtu kama wewe nadhani ni hatari kwa umoja wa taifa kwa kuleta hoja za 'kitoto' na za kizushi..Hujui mpira, huijui Yanga wala simba...nadhani bado ni mtoto mdogo usiyejua madhara ya hoja za aina hii...unachukulia masuala mazito ya kitaifa kwa mzaha na usijue madhara yake...
Umoja upi wa Kitaifa wakati Simba ikicheza mechi za kimataifa mnaside upizani.
 
Hii ni "CHUKI" NA "DHARAU"

Mkude ni mchezaji mzuri ila watu hawampendi ana damu ya KUNGUNI na miaka yote yupo na kiwango chake safi

Lakin kumbukeni kadumu first eleven ya Simba miaka na miaka wamekuja wachezaji kila aina wameshindwa kuchukua no yake

Ni Mtanzania mwenzetu tumpe matumaini afanyapo vizuri na pia afanyapo vibaya tumkosoe tuache tabia za chuki na dharau kwa vijana wetu

Unasema Mkude hamna kitu kwani kitu gani kibaya alifanya hapo jana au mechi zilizopita ??

Timu imeshinda akiwemo ndani bado unamdiss sasa ingefungwa ingekuaje

Ingependeza useme wapi anakosea ili ajirekebishe ningekuona una thamini mchango wake

SIKUJUI UNIJUI ILA SIO TABIA NZURI KUMDHARAU MTU
WATANZANIA TUACHE HIZI TABIA CHUKI NA DHARAU HAZIJENGI
Uyo muache anastress toka juzi wanatoa maji kwenye lile Jengo pendwa na mbu
 
Sudan ni CECAFA wenzetu..taabu inaanza tukicheza na West Africans au Waarabu.
 
We papuchi sijui kwa nini ulikosekana pale msamvu
Yanga ni sawa na CCM, miaka 50 ya uhuru wanazindua ujenzi wa barabara wakati wenzao wanakwenda kutalii mwezini.
Yanga kuna ushirikina sana ndio maana wakija TAIFA STARS hawawezi, wanakuta watu wenye MUNGU NA YESU , mapepo yao yanashindwa.
 
Hii ni "CHUKI" NA "DHARAU"

Mkude ni mchezaji mzuri ila watu hawampendi ana damu ya KUNGUNI na miaka yote yupo na kiwango chake safi

Lakin kumbukeni kadumu first eleven ya Simba miaka na miaka wamekuja wachezaji kila aina wameshindwa kuchukua no yake

Ni Mtanzania mwenzetu tumpe matumaini afanyapo vizuri na pia afanyapo vibaya tumkosoe tuache tabia za chuki na dharau kwa vijana wetu

Unasema Mkude hamna kitu kwani kitu gani kibaya alifanya hapo jana au mechi zilizopita ??

Timu imeshinda akiwemo ndani bado unamdiss sasa ingefungwa ingekuaje

Ingependeza useme wapi anakosea ili ajirekebishe ningekuona una thamini mchango wake

SIKUJUI UNIJUI ILA SIO TABIA NZURI KUMDHARAU MTU
WATANZANIA TUACHE HIZI TABIA CHUKI NA DHARAU HAZIJENGI

Safi sana Ndugu na umemaliza kila Kitu. Sijaona bado kama Mwanangu mwenyewe Jonas Gerald Mkude a.k.a Deco De Souza.
 
kabla ya mechi nilikuwa kwenye gari kunakipindi kinaitwa kipenga extra sijui cha redio gani walikuwa wana mada miongoni mwa waalikwa alikuwa mshabiki wa vyura akadai yanga(sijui alikuwa anajisemea mwenyewe au wote) hawataishangilia taifa stars kwa sababu kuna kiongozi wa tff alikuwa akihojiwa na kipindi cha michezo cha radio alisema stars ni bora kwa sababu inaundwa na wachezaji toka simba ambao ni timu bora
 
Back
Top Bottom