Kwanini wanadamu tupo Duniani?

juu zaidi palipo inuka sana,
kwenye kiti chake cha enzi cha ufalme.
Kiko wapi hicho kiti...tuonyeshe. afu why ni kitu...so yeye ni mtu ana makalio na Mikono ...if so Yuko wapi mbona tunaambiwa yupo kila mahali...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukiamini dini lazma ujitoe akili
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Eti turudi kwake...we unajuaje ulikuwa kwake ..unakumbuka chochote kuhusu maisha yako kabla ya kuzaliwa, πŸ˜‚acheni kujikosha na story za waarabu na wayahudi
 
Why Mungu alitengeneza mazingira ya wao kuzingua afu adhabu tupate sisi na shetani juu...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hizi story za kuwahadithia watoto wa chekechea...hivi we kwa akili yako timamu unaamini dunia imeumbwa siku sita Tena kabla ya jua na binadamu wawili waliishi na wanyama wote duniani na hamna kifo (sa sijui Simba alikuwa anakula hewa), πŸ˜‚afu nyoka kaongea tu na mtu kala tunda ndo magonjwa na vifo vikaja na wewe unamuhadithia mwanao Kama ni kweli. πŸ˜‚ Tuendelee tu kutawaliwa na wazungu waafrika tuna safari ndefu sana
 
Ushahidi wa adamu kuwepo ni upi zaidi ya story za waarabu na wayahudi?
 
πŸ˜‚ Anachokuambia wewe na mwingine ni tofauti ndo utakachojua kwamba Mungu ni akili yako...
 
Ni kupitia yoga mkuu,you can break all attachments za kuanzia utotoni mpaka hapo ulipo. Utakuwa free man. Unaweza pia kuvunja zile mambo ya kurithishana ambazo huenda ukoo hadi ukoo..
Sikuwahi kuifikiria yoga kama kitu chenye spiritual impact lakini ningependa kujua inafanyaje kazi kwa experience yako na routines zake pia
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Eti turudi kwake...we unajuaje ulikuwa kwake ..unakumbuka chochote kuhusu maisha yako kabla ya kuzaliwa, πŸ˜‚acheni kujikosha na story za waarabu na wayahudi
nakumbukaje wakati skuepo
 
Kiko wapi hicho kiti...tuonyeshe. afu why ni kitu...so yeye ni mtu ana makalio na Mikono ...if so Yuko wapi mbona tunaambiwa yupo kila mahali...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukiamini dini lazma ujitoe akili
kumbe ulishaambiwa yukao kila mahali?

sasa si ungeuliza mbona humuoniπŸ˜€?
 
Maskini ndie anasema anasubiri kufa, juzi kati nmetoka na washikaji tumejichanga kwa ajili ya kwenda kula na kunywa aisee haya maisha ni matamu mno na pesa ni kila kitu
nawewe tajiri boss!? Unatrillion ngapi bank?
 
Haya mambo yamekuzidi uwezo sio kosa lako
 
Hajapotea, ila unavyohangaika kutafuta pesa ndio na nguvu hizo hizo Tena na zaidi umtafute yeye...

Utamuona na nguvu zake...
Tangu umeanza kumtafuta Mungu huyo ushampata?

Au Mungu anacheza mchezo wa kujificha (kombolela) na wanadamu.

Kwamba sisi tuhangaike kumtafuta kisha yeye ajifiche..
 
Tumjue, tumpende, tumtumikie na mwisho tufike kwake....over
Mungu aliye kuumba, Hajui kwamba unampenda?

Yani Mungu mjuzi wa vyote, Aumbe binadamu ambao anataka wamjue?

Wakati Mungu anaumba Binadamu, Alikuwa hajui kwamba wanampenda hadi atake tumpende?
 
Mwambie aombe Toba na Rehema Kila siku kwa Imani...

Mbona Mungu anaonekana..


Tatizo amesema hakai mahali pachafu...
Hebu leta muonekano wa huyo Mungu kama ana onekana?

Tayari Mungu huyo ana sifa ya kuonekana, sasa nithibitishie muonekano wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…