Kwanini wanadamu tupo Duniani?

Kwanini wanadamu tupo Duniani?

juu zaidi palipo inuka sana,
kwenye kiti chake cha enzi cha ufalme.
Kiko wapi hicho kiti...tuonyeshe. afu why ni kitu...so yeye ni mtu ana makalio na Mikono ...if so Yuko wapi mbona tunaambiwa yupo kila mahali...😂😂😂ukiamini dini lazma ujitoe akili
 
una
unagoma kuelewa tu,

Narudia tena,
Ili tumjue, tumpende na tumtumikie ili mwishowe tufike kwake juu mbinguni.
basi ni hivyo tu, unataka nn tena....

ni kwasabb umekuja duniani ndio maana unahoji usingekuja kipi kinabadilika,
wakati unajua fika kwamba usingekuja duniani hata iyo Infinix hungekua nayo na wala hapa JF usingekuepo.

unaweza kuniuliza tena, kwanini usingekuepo ?
ni kwasabb alietuumba ameonelea usiwepo huku kama ulivyo.

pia usingekupo huenda tusingekua na swali kama hili...
😂😂😂Eti turudi kwake...we unajuaje ulikuwa kwake ..unakumbuka chochote kuhusu maisha yako kabla ya kuzaliwa, 😂acheni kujikosha na story za waarabu na wayahudi
 
Jibu utapata ukirudi nyuma hadi kipindi kabla Adamu na Hawa hawajamkosea Mungu

Mwanzo 1:28 BHN
Mungu akawabariki na kuwaambia, “Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki; muwatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.”

Haya matatizo yaliyojitokeza baada ya Adamu na Hawa kuzingua pale Edeni ndiyo yanayofanya wengi kama mleta mada kuuliza hilo swali

Ila Mungu alikuwa na nia nzuri sana na sisi wanadamu tuishi Edeni huku wote tunamtumikia yeye peke yake. Ila wazazi wetu wa kwanza ndio walizingua. Tunavuna alichopanda Adamu na Hawa
Why Mungu alitengeneza mazingira ya wao kuzingua afu adhabu tupate sisi na shetani juu...😂😂😂hizi story za kuwahadithia watoto wa chekechea...hivi we kwa akili yako timamu unaamini dunia imeumbwa siku sita Tena kabla ya jua na binadamu wawili waliishi na wanyama wote duniani na hamna kifo (sa sijui Simba alikuwa anakula hewa), 😂afu nyoka kaongea tu na mtu kala tunda ndo magonjwa na vifo vikaja na wewe unamuhadithia mwanao Kama ni kweli. 😂 Tuendelee tu kutawaliwa na wazungu waafrika tuna safari ndefu sana
 
Hapana, kwa mtazamo wangu "haujazima data" na swali lako ni zuri, inatakiwa na inapaswa kila mtu kujiuliza maswali kama hayo. Naamini aulizae ataka kujuwa.

Kabla sijaenda mbali zaidi, naona kama swali lako linanichanganya kidogo. Kwa kuwa linanichanganya itanibidi nikuulize maswali maswali mawili matatu ili nilielewe vyema.

Nimeshawahi kuona mtu akiuliza "kwanini tumeumbwa ?", lakini wewe hapana, hauna haja ya kujuwa kwanini tumeumbwa, wewe unataka kujuwa kwanini tupo duniani. Si ndivyo?

Pia naona umeshakiri na kukubali kuwa wewe ni "mwanadamu". Hapo pia umepunguza sana ya kunifanya nifikiri sana, kwani ayari unajijuwa kuwa u mwanadamu. Ingekuwa ni mtu u na si mwanadamu, kidogo jibu lingekuwa vingine na lisingeambatana maswali haya.

Pia nimefurahi sana kuona kuwa unaelewa kuwa tunangoja "kifo" tu. Maana kuna wengine huwa wanauliza "mie nangoja nini hapa duniani?", kwa hiyo na hpo umenipunguzia kazi ya kukuelewesha tunangoja nini, au siyo?

Baada ya kuyafikiria hayo maswali yangu natumai utakuwa na majibu au maswali mengine, rukhsa kuuliza tena.

Jibu lako kwa ufupi, kutokana na swali lako, upo hapa duniani kwa sababu "Adamu" alikuwa hapa duniani, na wewe umeshakiri kuwa u mwanadamu.

Nakaribisha maswali ya ziyada, kutokea kwako au kwa mwngine yeyote.
Ushahidi wa adamu kuwepo ni upi zaidi ya story za waarabu na wayahudi?
 
pole hiyo inaonekana umepoteza tumaini!!
kwa kizungu tunaita “feeling of being lost”
mtu kutoona maana ya maisha, kutojua kwann tunaishi…..

Hamna mtu anaweza kukujibu hili swali.ila naweza kukusaidia kuiondoa hii hali…

1.Tambua matatizo ni sehemu tu ya maisha
2.Kila jambo lina muda wake na kila kiumbe kinapitia wakat mgumu
3.Funga na kuomba “Emptness “ au purpose ya maisha ni mungu tu anaweza kukuambia
😂 Anachokuambia wewe na mwingine ni tofauti ndo utakachojua kwamba Mungu ni akili yako...
 
Ni kupitia yoga mkuu,you can break all attachments za kuanzia utotoni mpaka hapo ulipo. Utakuwa free man. Unaweza pia kuvunja zile mambo ya kurithishana ambazo huenda ukoo hadi ukoo..
Sikuwahi kuifikiria yoga kama kitu chenye spiritual impact lakini ningependa kujua inafanyaje kazi kwa experience yako na routines zake pia
 
Kiko wapi hicho kiti...tuonyeshe. afu why ni kitu...so yeye ni mtu ana makalio na Mikono ...if so Yuko wapi mbona tunaambiwa yupo kila mahali...😂😂😂ukiamini dini lazma ujitoe akili
kumbe ulishaambiwa yukao kila mahali?

sasa si ungeuliza mbona humuoni😀?
 
Maskini ndie anasema anasubiri kufa, juzi kati nmetoka na washikaji tumejichanga kwa ajili ya kwenda kula na kunywa aisee haya maisha ni matamu mno na pesa ni kila kitu
nawewe tajiri boss!? Unatrillion ngapi bank?
 
Why Mungu alitengeneza mazingira ya wao kuzingua afu adhabu tupate sisi na shetani juu...😂😂😂hizi story za kuwahadithia watoto wa chekechea...hivi we kwa akili yako timamu unaamini dunia imeumbwa siku sita Tena kabla ya jua na binadamu wawili waliishi na wanyama wote duniani na hamna kifo (sa sijui Simba alikuwa anakula hewa), 😂afu nyoka kaongea tu na mtu kala tunda ndo magonjwa na vifo vikaja na wewe unamuhadithia mwanao Kama ni kweli. 😂 Tuendelee tu kutawaliwa na wazungu waafrika tuna safari ndefu sana
Haya mambo yamekuzidi uwezo sio kosa lako
 
Hajapotea, ila unavyohangaika kutafuta pesa ndio na nguvu hizo hizo Tena na zaidi umtafute yeye...

Utamuona na nguvu zake...
Tangu umeanza kumtafuta Mungu huyo ushampata?

Au Mungu anacheza mchezo wa kujificha (kombolela) na wanadamu.

Kwamba sisi tuhangaike kumtafuta kisha yeye ajifiche..
 
Tumjue, tumpende, tumtumikie na mwisho tufike kwake....over
Mungu aliye kuumba, Hajui kwamba unampenda?

Yani Mungu mjuzi wa vyote, Aumbe binadamu ambao anataka wamjue?

Wakati Mungu anaumba Binadamu, Alikuwa hajui kwamba wanampenda hadi atake tumpende?
 
Mwambie aombe Toba na Rehema Kila siku kwa Imani...

Mbona Mungu anaonekana..


Tatizo amesema hakai mahali pachafu...
Hebu leta muonekano wa huyo Mungu kama ana onekana?

Tayari Mungu huyo ana sifa ya kuonekana, sasa nithibitishie muonekano wake.
 
Back
Top Bottom