Kwanini wanadamu tupo Duniani?

Kwanini wanadamu tupo Duniani?

Ukiwa free minded unagundua maisha ni mazuri tu...sio ukimsikiliza mchungaji anakuambia dunia inaisha tokea Yesu huko mpaka Leo haijaisha tu
Issue ndio ipo hapo mkuu

Unawezaje kujitoa kwenye hizo attachments ili uweze kufikiria kwa akili binafsi

Na kingine hapo, unaweza kuwa una imani na Mungu 100% na pengine hutaki kuacha imani yako lakini Mungu anavyokuwa presented katika njia ambayo ipo somehow controversial kiasi cha kuzua migongano ya kidhehebu na kidini. Unawezaje deal na hili
 
Yesu katoa unabii Gani wa maana...vita na magonjwa vipo na vitaendelea kuwepo so hamna kitu hapo...alisema dunia itaisha wafuasi wake waliomsikiliza pale wakiwa hai and everyone died hakurudi. So wat did he get right Cha ajabu utuambie?
The love of many will grow cold. Yesu alikuwa sahihi kuhusu hili, wanawake mabikra wanatumiwa na kuachwa , haikuwepo zamani.

Sasahivi upendo wa kindugu umekufa tofauti na zamani, Yesu alitabiri kwa usahihi.

Zeus alitabiri kitu gani?
 
Issue ndio ipo hapo mkuu

Unawezaje kujitoa kwenye hizo attachments ili uweze kufikiria kwa akili binafsi

Na kingine hapo, unaweza kuwa una imani na Mungu 100% na pengine hutaki kuacha imani yako lakini Mungu anavyokuwa presented katika njia ambayo ipo somehow controversial kiasi cha kuzua migongano ya kidhehebu na kidini. Unawezaje deal na hili
Just follow ur mind. Usiogope hell it's made up kutishia watoto. Tumia akili yako. Hata Kama Kuna creator hajali kuhusu vitu vidogo Kama position za kusex na nguo unazovaa au nyama unayokula. These r man made rules. A loving God ni ambae anajionyesha kwa watu Kama ana Nia ya kuabudiwa. Ukitaka mtoto wako akuheshima Cha kwanza ni kuwepo kwa ajili Yake sio kumkimbia na kutuma watu 1000 kidogo. Ukielewa hivyo hizi dini za kuletwa na mashua hazitakusumbua
 
The love of many will grow cold. Yesu alikuwa sahihi kuhusu hili, wanawake mabikra wanatumiwa na kuachwa , haikuwepo zamani.

Sasahivi upendo wa kindugu umekufa tofauti na zamani, Yesu alitabiri kwa usahihi.

Zeus alitabiri kitu gani?
Yesu ni nini?
 
The love of many will grow cold. Yesu alikuwa sahihi kuhusu hili, wanawake mabikra wanatumiwa na kuachwa , haikuwepo zamani.

Sasahivi upendo wa kindugu umekufa tofauti na zamani, Yesu alitabiri kwa usahihi.

Zeus alitabiri kitu gani?
Acha uwongo....😂😂😂😂wat statistics do u have eti bikra sijui ndugu. Kwa taarifa yako nowadays there r less wars n killings than ever..less rape... less genocides
Njaa hamna ipo only in war torn areas... hamna kitu Cha maana alichotabiri ambacho hakijawahi kuwepo. Ni sawa nije kutabiri watu watalima mahindi.
 
Kabla ya kujua maana ya maisha, inabidi ujue maana ya maana kwanza.

Ni nini maana ya maana kama neno hilo linavyotumika katika muktadha huu?

Kiingereza neno hili linaweza kutafsiriwa kitofauti, kama meaning, reason, purpose, sense etc.

Kwa hiyo, tunaposema maana tunakusudia nini?
Umeuliza swali zuri na fikirishi ila nimeuliza swali pia kutokana na context ya mtoa mada

Binafsi yangu yaweza kuwa

" Reason behind our existence"

" Lakini pia hizi life routines za kuzaliwa, kuishi na kufa, purpose yake kubwa nini haswa kwa watu binafsi"
 
وَمَا خَلَقۡتُ ٱلۡجِنَّ وَٱلۡإِنسَ إِلَّا لِیَعۡبُدُونِ﴿ ٥٦ ﴾

•Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.

Adh-Dhariyat, Ayah 56
Jibu hili hapa.
 
Wakuu sorry

Labda nimejizima data, Ila sielewi haya maisha. Baada ya kupata CHANGAMOTO, nimejiuliza Mambo mengi

Kwanini wanadamu tupo Duniani, ili iweje, wakati tunasubiri kifo tu

Dah
Ulitaka tuwe wapi na inatusaidia nini? Mbona wadudu, wanyama na mimea pia vipo?
 
Wakuu sorry

Labda nimejizima data, Ila sielewi haya maisha. Baada ya kupata CHANGAMOTO, nimejiuliza Mambo mengi

Kwanini wanadamu tupo Duniani, ili iweje, wakati tunasubiri kifo tu

Dah
Pole sana,
Nikwambie tu hayo majibu ulopewa sio mwisho wa maisha yako, kula vizuri, fanya mazoezi, pumzika na zaidi zingatia dawa,

Utaishi hata miaka 50 mbele.
 
Kwake ni wapi ..juu ya Mlima Kama Moses alipomuona, mawinguni Kama yesu alipoenda au amejificha pasipojulikana
Ukiishajua anapoishi utakuwa umelingana naye uwezo, kumbuka wewe ni kiumbe chake na huna uwezo wa kulingana naye ata kidogo..

Kinyago ulichokichonga hakiwezi kukutisha au kukuzidi maarifa.
 
Umeuliza swali zuri na fikirishi ila nimeuliza swali pia kutokana na context ya mtoa mada

Binafsi yangu yaweza kuwa

" Reason behind our existence"

" Lakini pia hizi life routines za kuzaliwa, kuishi na kufa, purpose yake kubwa nini haswa kwa watu binafsi"
Sababu (reason) ya wewe kuwapo ni kwamba wazazi wako wamekuzaa.

Sababu ya watu kuwapo ni kwamba, evolution ime favor tuwepo kama species.

Mfano, kitendo kinachopelekea sexual reproduction kina raha sana, watu wanapenda kukifanya, na wakikifanya kinapelekea kupata watoto. Pengine bila hata kupanga kuwa na mtoto. Na watoto wanazidi kuzaana.

Nina hakika ingekuwa kitendo cha sex kinaumiza kama kukatwa mkono, watu wangegoma kukifanya na matokeo yake tusingekuwepo hapa.

Zaidi ya kutaka kuendeleza maisha tu, process ya evolution haina lengo maalum.

Kifalsafa zaidi, maisha hayana maana (purpose), wewe unayeishi ndiye una uwezo wa kuchagua uyape maisha yako maana gani.

Kwa mfano, unaweza kuona watu wengi wanataabika kwa kuugua na kufa kwa Malaria, ukajikita kusoma ugonjwa huu mpaka upate chanjo yake ya kuukomesha.

Ukifanikiwa, jambo hilo litafanya maisha yako yawe na maana sana, kwamba umesaidia watu wengi sana kutougua ugonjwa wa Malaria.

Lakini, hatuwezi kusema ulizaliwa ili ulete chanjo ya Malaria, kwa sababu hicho ni kitu ambacho wewe mwenyewe ulijipangia katika maisha yako.

Ukweli kwamba tutakufa, hauondoi maana ya maisha, kama vile ukweli kwamba hatuwezi kuhesabu mpaka infinity, hauondoi ukweli kwamba tunaweza kuhesabu.
 
Binafsi huwa naona maisha ya wabongo wengi yapo kwenye routine ambayo ipo boring.

Mfano hapo unafanya kazi weekdays,
Weekend unaenda kuimalizia bar, beach au club, kwa wengine wanaimalizia kwa kujibebea makahaba, unasex

Jumapili utaenda nyumba ya ibada na kama sio bhasi utapumzika kwa uchovu wa siku iliyopita huku unasubiria wiki ianze

Yaani unaishi miaka 10-20 katika routine ile ile, bata zile zile, kazi ile ile, biashara zile zile na si ajabu hata watu ni wale wale

Hivi huwa hamboreki na hiyo system ya maisha mkuu, sio kwa ubaya ila nina shauku ya kujua
Mm nadhan inategemea na kipato cha mtu pamoja na aina ya starehe anayoipenda mhusika
 
Wakuu sorry

Labda nimejizima data, Ila sielewi haya maisha. Baada ya kupata CHANGAMOTO, nimejiuliza Mambo mengi

Kwanini wanadamu tupo Duniani, ili iweje, wakati tunasubiri kifo tu

Dah
Tumeumbwa ili tumjue, tumpende na tumtumikie ili mwishowe,
tufike kwake juu mbinguni.
 
Nowadays naona Uzi wa kupinga uwepo wa Mungu zimekuwa nyingi sana.
Uwepo wake huyo Mungu ulianza lini? Ulianzishwa na nani? Huyo Mungu yeye ni nani? Alikuwa wapi,leo hii yuko wapi? Siku za usoni atakuwa wapi! Ukiambiwa mchicha unalimwa na unaliwa,kubali. Maana una ushahidi. Lakini ukiambiwa wingu ndo mbingu,tafakari kwanza. Siyo kila kipitacho kinaliwa
 
Sababu (reason) ya wewe kuwapo ni kwamba wazazi wako wamekuzaa.

Sababu ya watu kuwapo ni kwamba, evolution ime favor tuwepo kama species.

Mfano, kitendo kinachopelekea sexual reproduction kina raha sana, watu wanapenda kukifanya, na wakikifanya kinapelekea kupata watoto. Pengine bila hata kupanga kuwa na mtoto. Na watoto wanazidi kuzaana.

Nina hakika ingekuwa kitendo cha sex kinaumiza kama kukatwa mkono, watu wangegoma kukifanya na matokeo yake tusingekuwepo hapa.

Zaidi ya kutaka kuendeleza maisha tu, process ya evolution haina lengo maalum.

Kifalsafa zaidi, maisha hayana maana (purpose), wewe unayeishi ndiye una uwezo wa kuchagua uyape maisha yako maana gani.

Kwa mfano, unaweza kuona watu wengi wanataabika kwa kuugua na kufa kwa Malaria, ukajikita kusoma ugonjwa huu mpaka upate chanjo yake ya kuukomesha.

Ukifanikiwa, jambo hilo litafanya maisha yako yawe na maana sana, kwamba umesaidia watu wengi sana kutougua ugonjwa wa Malaria.

Lakini, hatuwezi kusema ulizaliwa ili ulete chanjo ya Malaria, kwa sababu hicho ni kitu ambacho wewe mwenyewe ulijipangia katika maisha yako.

Ukweli kwamba tutakufa, hauondoi maana ya maisha, kama vile ukweli kwamba hatuwezi kuhesabu mpaka infinity, hauondoi ukweli kwamba tunaweza kuhesabu.
Umeniongezea kitu, shukrani japo nilikuwa najiuliza zaidi kwa nini hiyo system ya evolution inafanyika na kwa jinsi gani binadamu anafaidika nayo tofauti na kujikuta yupo tayari kwenye mfumo ambao haumpi chaguo la kuukataa au kuubali zaidi ya kwenda na flow.


What is the greater purpose ya huu mfumo?.

Kwa Mfano dini imetoa jibu la kuwa maisha ya hapa ni kama mtihani tu ambao matokeo yake ndiyo yatakayoamua tutaishije kwenye maisha halisi yasokwisha pindi tunapoacha system hii baada ya kufariki "eternal life, afterlife "
 
Fikiria pia kama kifo kisinge kuwepo,

Watu na wanyama si tungekuwa wengi sana kiasi kwamba kusingekuwa na Nafasi ya kuishi na kufanya makazi.

Yani tungekuwa tumejazana kama utitiri kiasi kwamba kusingekuwa hata na nafasi ya kupita au kujenga barabara.

Kila Kiumbe Lazima Kife, Ili Kiumbe kingine kipate Nafasi ya kuishi.

Rejea kifo cha Simba Bob junior aliye uwawa na simba wenzake ili wapate utawala, Sasa je Asingekufa hao simba wenzake wange ishi vipi?
Mtoa mada ameulizia swali la msingi sana, wewe unaleta mambo ya kufirika na uongo.

Nani amekwambia Dunia inajaa, angalia ni maeneo ya ukubwa gani yako wazi hadi Leo mpaka useme kungekuwa hatufi watu wange jaa ?

Kwa ufupi swali hilo la mtoa mada, ni katika maswali ambayo huwa yanadhihirisha utoto na ubaradhuri wa wakana Mungu.
 
Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Mungu huyo Angekuwepo Asinge tuacha kwenye sintofahamu kubwa na utata wa kufahamu uwepo wake.

Kwani akijitokeza na afahamike na kujulikana yupo inapunguza nini yeye kuwa Mungu?

Anacho jifichia huko ni nini?

Kwamba hataki, Viumbe alivyo viumba mwenyewe vimjue?
Vijana kueni kiakili na kufikiria, unaposema "Kwa sababu Mungu hayupo" hii haiwezi kuwa sababu, unatakiwa uandike umejuaje Mungu hayupo.

Lakini matumizi ya "nge" ni kuonyesha kushindwa katika hoja na kukosoa kadhalika. Sisi tutakuuliza umejuaje kama kutokuwepo kwa Mungu ni matokeo ya haya ambayo yapo na yanayo tokea ?

Nani amekwambia hafahamiki ? Wewe na wenzako ndio hamumfahamu. Bali anafahamika na ushahidi wa uwepo uko wazi kuliko ushahidi wa uwepo wako wewe, ndio maana huwa tunasema nyinyi hamna akili.

Hakuna kitu ambacho ushahidi wake uko wazi kuzidi ushahidi wa uwepo wa Mungu.

Anajificha vipi wakati yeye ndio anaendesha haya mambo na kufanya Dunia iwe hivi ilivyo.

Ni nyinyi peke yenu hamumjui sababu hamtaki kumjua na mnajifanya hamnazo.
 
Mtoa mada ameulizia swali la msingi sana, wewe unaleta mambo ya kufirika na uongo.

Nani amekwambia Dunia inajaa,
Bila kifo dunia inge endelea kuwa na idadi ileile ya watu?

Nafasi ya kuishi kwa kila kiumbe inge patikana?

Ina onesha hata hukwenda shule.

Hukusoma na hujui mambo ya Population increase, Ecosystem, over population n.k

Unacho jua ni kuvaa kobasi na kukariri fiction stories za Quran.
angalia ni maeneo ya ukubwa gani yako wazi hadi Leo mpaka useme kungekuwa hatufi watu wange jaa ?

Kwa ufupi swali hilo la mtoa mada, ni katika maswali ambayo huwa yanadhihirisha utoto na ubaradhuri wa wakana Mungu.
 
Back
Top Bottom