Kwanini wanadamu tupo Duniani?

Kwanini wanadamu tupo Duniani?

HAKUNA BINADAMU ANAYEJUA SIRI YA MAISHA...

Huu ndio mtihani pekee aliotoa yeye aliyetengeneza huu ulimwengu...

Kuna SAUTI ipo ndani ya kila Binadamu huo ndio msaada pekee unaoweza kukupa sababu ya maisha hapa duniani...

DINI
Ni imani za wanadamu wakijaribu kumtafuta muumba wa ulimwengu katika fikra tofauti tofauti lakini still HAKUNA ANAYEJUA UKWELI wa mambo ya Muumba.

Usijipe mzigo mzito wa kuwaza chimbuko la Muumba ukasahau kuishi vizuri hapa duniani.

Kila saa kila dakika kila sekunde inayopita hijirudii hivyo hakikisha unakuwa na mawazo chanya muda wote na unafurahia maisha yako kwasababu hatma ya unapokwenda baada ya kifo japo hatupajui ila inategemeana sana na ulivyoishi hapa duniani....
 
Binafsi huwa naona maisha ya wabongo wengi yapo kwenye routine ambayo ipo boring.

Mfano hapo unafanya kazi weekdays,
Weekend unaenda kuimalizia bar, beach au club, kwa wengine wanaimalizia kwa kujibebea makahaba, unasex

Jumapili utaenda nyumba ya ibada na kama sio bhasi utapumzika kwa uchovu wa siku iliyopita huku unasubiria wiki ianze

Yaani unaishi miaka 10-20 katika routine ile ile, bata zile zile, kazi ile ile, biashara zile zile na si ajabu hata watu ni wale wale

Hivi huwa hamboreki na hiyo system ya maisha mkuu, sio kwa ubaya ila nina shauku ya kujua
Uko sahihi kbsa routine yetu sisi inakaririka sana na ikitokea ukapindisha kidogo ukaenda hata Seychelles Kula Bata watasema wew unaendekeza starehe na sio Mungu ,mara maneno kibao, imagine hiyo routine miaka 30 unaifanya kifupi hakuna kipya
 
Uko sahihi kbsa routine yetu sisi inakaririka sana na ikitokea ukapindisha kidogo ukaenda hata Seychelles Kula Bata watasema wew unaendekeza starehe na sio Mungu ,mara maneno kibao, imagine hiyo routine miaka 30 unaifanya kifupi hakuna kipya
Ni kweli mkuu yaani kuiacha ni hadi uishiwe nguvu au pesa
 
Ndomana kawaza vitu deep sana😁
ukivuta bangi alafu ikakutuma ugomvi achana nayo kabisa.

Ukivuta bangi ikakufikirisha sana mambo ya kiroho basi anza kuyafanyia kazi.

Mana lazima ikupe majibu nini unatakiwa kufanya.
 
HAKUNA BINADAMU ANAYEJUA SIRI YA MAISHA...

Huu ndio mtihani pekee aliotoa yeye aliyetengeneza huu ulimwengu...

Kuna SAUTI ipo ndani ya kila Binadamu huo ndio msaada pekee unaoweza kukupa sababu ya maisha hapa duniani...

DINI
Ni imani za wanadamu wakijaribu kumtafuta muumba wa ulimwengu katika fikra tofauti tofauti lakini still HAKUNA ANAYEJUA UKWELI wa mambo ya Muumba.

Usijipe mzigo mzito wa kuwaza chimbuko la Muumba ukasahau kuishi vizuri hapa duniani.

Kila saa kila dakika kila sekunde inayopita hijirudii hivyo hakikisha unakuwa na mawazo chanya muda wote na unafurahia maisha yako kwasababu hatma ya unapokwenda baada ya kifo japo hatupajui ila inategemeana sana na ulivyoishi hapa duniani....
Best answer
 
😂😂😂Wewe ndo unamfahamu Mungu wako ambao waarabu wamekukaririsha...
Uwe unajibu maswali unayo ulizwa, itakusaidia sana katika namna nzuri ya ufikiriaji sio kama unavyo fikiria kitoto namna hii.
 
Uwe unajibu maswali unayo ulizwa, itakusaidia sana katika namna nzuri ya ufikiriaji sio kama unavyo fikiria kitoto namna hii.
Wewe ndo mtoto...u just saying "Mungu ambae nimeridhi kwa mzazi wangu ndo best wengine ni uwongo" 😅ni sawa na urithi timu ya kushabikia
 
Wakuu sorry,

Labda nimejizima data, Ila sielewi haya maisha. Baada ya kupata CHANGAMOTO, nimejiuliza Mambo mengi.

Kwanini wanadamu tupo Duniani, ili iweje, wakati tunasubiri kifo tu.

Dah
Nini kinyume cha "changamoto"?
 
Wakuu sorry,

Labda nimejizima data, Ila sielewi haya maisha. Baada ya kupata CHANGAMOTO, nimejiuliza Mambo mengi.

Kwanini wanadamu tupo Duniani, ili iweje, wakati tunasubiri kifo tu.

Dah
Kiukweli kabisa anae jua sababu hasa kwanini tupo duniani ni yule alie tuumba. Hakuna mwanadamu ajuae sababu halisi
 
Back
Top Bottom