Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Hivi siku hizi ni kwamba utaratibu wa masomo ya wanafunzi wa primary hasa wa la 7?
Kwa sababu asubuhi mida ya saa kumi na moja unawakuta wako barabarani wanasubiri usafiri na jioni hadi mida ya saa mbili unakutana nao wamesimama huko barabarani ndo wanaenda nyumbani.
Nimejaribu kuwauliza wanasema wanawahi shule na wanachelewa kutoka kwa sababu ya masomo ya ziada shuleni
Sasa ukijiuliza mwanafunzi wa darasa la saba ana miaka 10 hadi 12 bado ni wadogo. Walimu wanawaza kweli usalama wa hawa watoto tena wakati wa jioni ambapo usalama unasumbua hasa hapa darMamlaka husika liingilie kati japo hili na kutafauta njia mbadala ili kuwalinda hawa wanafunzi