Kwanini wanafunzi wa darasa la 7 wanachelewa sana kutoka Shule?

Kwanini wanafunzi wa darasa la 7 wanachelewa sana kutoka Shule?

Shule ya sekondari itumba iko Ileje wanatoka saa mbili usiku. Ukizingatia mazingira na jiografia ya Ileje na shule yenyewe ni mixed....halafu wamevuna SASA hivi ni mwendo WA kula nakuwaza ngono....naogopa Sana Kwa huyu binti yangu.
kaka nataka kuhamia itumba npo mbeya mjn unaweza nsaidia namba yako pm tuyajenge moja mbili 3 kuhusu mazngra ya uko
 
Ni lini huu utaratibu wa watoto kupoteza muda eti kujiandaa na mitihani utaisha? Yaan ni kukaririshwa tuuu akija mtaani maisha ni tofauti na ya shule.
Ni uduwanzi wa zama hizi. Kwa kuwa ni madili ya watu, Prof. Ndakichako walimdhihaki bungebni; Mkenda akalonga kidogo wakamkoromea. Ikapita hiyo!
Wanafunzi si wafungwa, na shule si magereza.
Wataalamu wangekuwa wanafungiwa maabara kama wanafunzi wanavyofungiwa madarasani labda tungekuwa mbali
 
Back
Top Bottom