kbmk
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 776
- 158
Shule nyingi haswa za serikali notes zinazotumika ni za walimu wa mitaani wasiosomea ualimu. Japo mwalimu yupo lakini bado anakua km option. Shule km ilboru kulikua kuna ktu inaitwa chamber huto ndo pakusomea mtu hana haja na kuingia darasani akisoma ni notes za mtaani tu japo za mwalimu wake anazo. Je walimu husika hawawezi kuandaa desa za ukweli watoto watulie?
binafsi nliona sekondary bila tution huku Dar utaijua math, biology, chemistry, physics nk ugumu upo wapi. azania lab zipo watu haooo wanaenda kupiga practical mtaani. NYIE WALIMU TUNAWASAIDIA KUFUNDISHA MBONA MNALALAMIKA?
binafsi nliona sekondary bila tution huku Dar utaijua math, biology, chemistry, physics nk ugumu upo wapi. azania lab zipo watu haooo wanaenda kupiga practical mtaani. NYIE WALIMU TUNAWASAIDIA KUFUNDISHA MBONA MNALALAMIKA?