Kwanini wanaijeria wanawaacha vijana wanachagua marais wazee waliojichokea hoi?

Kwanini wanaijeria wanawaacha vijana wanachagua marais wazee waliojichokea hoi?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
yule mjeda aliepita muda mwingi alikuwa anabadilisha mahospitali tu kwa umri mrefu na hadi ameondoka hata upande huu haujui maana hajawahi kukatiza huku.

huyu wa sasa siku wanamwapishwa alikuwa anatembea kama anakwea ngazi wkt sehemu yenyewe wala haina ngazi!

sasa nimejiuliza ina maana huku hamna vijana au ndovile vijana wamezingua sana kiasi wanaona isiwe taabu acha wawape mashavu vibabu?

au wana shida ya udini/ukabila/umwinyi?
 
Taifa lile la watu wa magharibi au wild west huwezi kuwa kijana na kuongoza mabilionea kama kina Dangote na Inchi ishakuwa na mapinduzi kibao kabla so lazima mtu mkongwe mwenye kujua nchi vizuri.
Sio degree TU.
 
Makabila makubwa nigeria yapo matatu hausa, igbo na yoruba hayo mawili ya mwisho hayapendani yaani hta ikitokea mgombea mmoja anatokea kati ya igbo au yoruba kabila mojawapo hapo watampigia kura mhausa

Kwa io wahausa wanatembelea nyota ya hayo makabila mawili ambayo hayapendani ndio maana kila uchaguzi wanashinda kwa kura nyingi kutoka kwenye kabila lao na zingine kutoka kabila mojawapo pinzani.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Shida ya Nigeria pia ni katiba ya hovyo ambayo eti mtu anatangazwa mshindi wa urais kwa simple majority ambayo ndio ilimwezesha huyo Tinubu kutangazwa mshindi kwa kupata asilimia 37 tu ya kura zote zilizopigwa.

Ingekuwa mshindi anapatikana kwa popular vote yaani kwa mshindi kupata zaidi ya asilima 50 huyo Tinubu asingeweza kushinda.

Hiyo kura ya simple majority ndio imo hata kwenye katiba yetu baada ya Mkapa kuiweka mwaka 2000.
 
images (30).jpeg
vijana mkome kunifuata fuata ntaroga mtu ohooooooo.
 
Back
Top Bottom