pleo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 3,444
- 2,737
Mlianza kusema kuwa JF imejaa utapeli, mkawakatisha watu tamaa. Wenye akili wakatoa michango, bado mkaendelea kuwakatisha tamaa kuwa kuna Wana usalama wametumwa ili kuwaangali. Mlipoona mmeshindwa kabisa na safari imefana mkaja na hoja kuwa eti Wana JF wa Dar ni Wanafiki. Bado hamjaridhika na hayo yote mmekuja leo na hili tena. Kha! Ni hatari sana kuwa na watu wa dizaini hii kwenye jamii na ndio maana tunaambiwa tuna IQ ndogo kila siku.
kuna ukweli fulani hapa hususan maneno tano ya mwisho.