Mlianza kusema kuwa JF imejaa utapeli, mkawakatisha watu tamaa. Wenye akili wakatoa michango, bado mkaendelea kuwakatisha tamaa kuwa kuna Wana usalama wametumwa ili kuwaangali. Mlipoona mmeshindwa kabisa na safari imefana mkaja na hoja kuwa eti Wana JF wa Dar ni Wanafiki. Bado hamjaridhika na hayo yote mmekuja leo na hili tena. Kha! Ni hatari sana kuwa na watu wa dizaini hii kwenye jamii na ndio maana tunaambiwa tuna IQ ndogo kila siku.
Shalom waisrael wenzangu!
Kama umebahatika kuhudhuria projects za wanaJF mara kwa mara mfano ile ya kutembelea mahosptalini nadhani hautapata shida kuthibitisha hoja yangu,
Je wekundu huu wa macho kwa wanaJF wengi unatokana na nini (Females +males) au ndio kusema kukesha kwenye screen za simu na laptop wakibrowse JF siku nzima?
Au bangi viroba na pombe ndiyo chanzo?,
Hapo kwenye ufupi sina jibu wala assumption.
huko ocean road mnaenda lini tena.!? ni nkashuhudie hao vijeba.
Kila mtu alikuja na gari bovubovu licha ya kupuuza babywalker
Shalom waisrael wenzangu!
Kama umebahatika kuhudhuria projects za wanaJF mara kwa mara mfano ile ya kutembelea mahosptalini nadhani hautapata shida kuthibitisha hoja yangu,
Je wekundu huu wa macho kwa wanaJF wengi unatokana na nini (Females +males) au ndio kusema kukesha kwenye screen za simu na laptop wakibrowse JF siku nzima?
Au bangi viroba na pombe ndiyo chanzo?,
Hapo kwenye ufupi sina jibu wala assumption.
Kwa point ya mtoa mada hapa nilipokaa wana jf kama wawili wamepita maana macho yao red sana
Shalom waisrael wenzangu!
Kama umebahatika kuhudhuria projects za wanaJF mara kwa mara mfano ile ya kutembelea mahosptalini nadhani hautapata shida kuthibitisha hoja yangu,
Je wekundu huu wa macho kwa wanaJF wengi unatokana na nini (Females +males) au ndio kusema kukesha kwenye screen za simu na laptop wakibrowse JF siku nzima?
Au bangi viroba na pombe ndiyo chanzo?,
Hapo kwenye ufupi sina jibu wala assumption.
hahahahhaa umewajuaje kama ni wanajf
Hahaaaa haa......jf is never boring..
Macho yao mekundu na nikisimama nao wananifika kwenye magoti, najua ndo wao tu