Nilijua tu Kuna mtu ataongea Hilo.Nimeona sare ya chama fulani hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua tu Kuna mtu ataongea Hilo.Nimeona sare ya chama fulani hapo
Ndizi, kitimoto na mboga wanakula labda ugali na mihogo.Hizi vyakula mbona hata Ulaya hawali mkuu, lakini unaona walivyo ngangari...Ujerumani wakicheza na Tanzania, Tanzania analamba hata 12-0
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto laini huyo.Hakuna mwanaume hapo
Aisee wengi Zanzibar wapo hivi mkuuTabia haiko kwa wazenji, tabia iko kwa mtu mmoja mmoja
Watu wa kule ni wavivu sana+vyakula vibovu lazima walegee
Mbona anaonekana anatoka CHAMA CHAO CHA KIJANI?Huyu mwanamuziki wa Zanzibar anaitwa nani, na ni kwa nini wanamuziki wengi wa kiume Zanzibar wapo hivi?
Wakati ile ni nchi ya maadili sana kuliko kawaida?
View attachment 1325640
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenyewe wanasema ni nchi, ina rais, serikali, bendera yake
Kumbe!!! Nilikua cjuiWenyewe wanasema ni nchi, ina rais, serikali, bendera yake