Kwanini wanandoa hukimbiana siku ya harusi

kujiamini ndio kikubwa wewe mwanaume usijali maisha yakoje kikubwa ni kusonga mbele
 
unajua nini? story unaweza kuta alikuwa anazipata siku nyingi sema alikuwa anapotezea si anajua ndoa iko mbali, sasa inapokaribia ndio mauoga na mawazo kwamba naenda kuoa ex changu yanaanza kumuingia vilivyo mwisho hatokei siku ya ndoa. jinsi ndoa inakaribia na uoga ndivyo unaongezeka na ndivyo mtu anaanza kufikiria zaidi mbinu za kujinasua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…