Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Dhana ya ujasiliamali ni pana sana na wenye tunaweza kuwachukulia kama intrapreneurs yaani mtu ambaye anafanya mambo kijasiliamali japokuwa kaajiriwa ama anafanya kazi kwenye firm ya mtu mwingine
si mara zote, ila mara nyingi unakuta mtu anayefundisha na kuhamasisha wenzien wasitegemee ajira bali wawe wajasiriamali unakuta yeye hana hata genge la nyanya, hivi ni kwanini wadau? Au ndio fata ninayokwambia usifate ninayotenda.
Ukienda chuo kikuu cha dar es salaam kuna wahadhiri wengi na wazuri hasa kwenye kufundisha lakini wao hamna wanachotegemea kuwaingizia pesa zaidi ya ajira, nafaham ni dhahiri kuwa wote hatuwezi kuwa wajasiriamali lakini kwanini watu hawa hawabadilishi ule uwezo wa kufundisha kwenda kwenye vitendo?????
haha hahaaaa
nawapenda wale wanaofundisha kutengeneza sabuni, chaki, shampoo, mishumaa n.k
lolz .. wanafundisha hao, na wanakuaminisha kabisa uwezekano wa wewe kufungua kiwanda. Mwangalie mwalimu sasa,,,, utachokaaa
Back 2007 in my economics class form 5. mwalimu alitwambia kuwa kuna factor 3 za production.
land,capital,Labour . alisema kuwa capital ndo the most scarce resource of all 3.
Baada ya mimi kukuwa na kujisomea somea mwenyewe nilikuja gundua kuwa actualy zipo 4. ya nne ni entreprenuarial skillls. na kwamba hyo ndo the most scarce resource of all. hiz skills za ujasiriamali si kama kusoma historia, ni born with na kiukweli tunazaliwa nazo wachache.
Si mara zote, ila mara nyingi unakuta mtu anayefundisha na kuhamasisha wenzien wasitegemee ajira bali wawe wajasiriamali unakuta yeye hana hata genge la nyanya, hivi ni kwanini wadau? au ndio fata ninayokwambia usifate ninayotenda.
Ukienda chuo kikuu cha dar es salaam kuna wahadhiri wengi na wazuri hasa kwenye kufundisha lakini wao hamna wanachotegemea kuwaingizia pesa zaidi ya ajira, nafaham ni dhahiri kuwa wote hatuwezi kuwa wajasiriamali lakini kwanini watu hawa hawabadilishi ule uwezo wa kufundisha kwenda kwenye vitendo?????
Haa, nadhani huwa huelewi somo. Huko kukufundisha wewe ndio UJASIRIAMALI kwao wao waliouchagua kuutekeleza kwa vitendo!!!!
Rich Dad, Poor Dad: What the Rich Teach Their Kids About Money--That the Poor and the Middle Class Do Not! (Miniature Edition): Robert T. Kiyosaki: 9780762434275: Amazon.com: BooksSi mara zote, ila mara nyingi unakuta mtu anayefundisha na kuhamasisha wenzien wasitegemee ajira bali wawe wajasiriamali unakuta yeye hana hata genge la nyanya, hivi ni kwanini wadau? au ndio fata ninayokwambia usifate ninayotenda.
Ukienda chuo kikuu cha dar es salaam kuna wahadhiri wengi na wazuri hasa kwenye kufundisha lakini wao hamna wanachotegemea kuwaingizia pesa zaidi ya ajira, nafaham ni dhahiri kuwa wote hatuwezi kuwa wajasiriamali lakini kwanini watu hawa hawabadilishi ule uwezo wa kufundisha kwenda kwenye vitendo?????
Kuna vitu viwili mnachanganya, Entrepreneurship skills na Entrepreneur. kinacho fundishwa ni entrepreneurship skills au business skills, na hizi skills hufanya kazi kwa ambaye tiyari ni entrepreneur, hizi skills ni kama vile, Marketing planing, business planing, how to price, promote, sales, manage business na alike.
Ujasiriamali haufundishwi, hakuna chuo cha kuwabadili watu kuwa wajasiriamali,
Ujasiriamali, hutoka moyoni mwako huhitaji kozi ya aina yoyote ile ili uwe mjasiriamali, but unahitaji kozi mbalimbali ku bust ujasiriamali wako
hujajibu swali, ukifeli unasema umefelishwa. swali ni kwanini?
si mara zote, ila mara nyingi unakuta mtu anayefundisha na kuhamasisha wenzien wasitegemee ajira bali wawe wajasiriamali unakuta yeye hana hata genge la nyanya, hivi ni kwanini wadau? Au ndio fata ninayokwambia usifate ninayotenda.
Ukienda chuo kikuu cha dar es salaam kuna wahadhiri wengi na wazuri hasa kwenye kufundisha lakini wao hamna wanachotegemea kuwaingizia pesa zaidi ya ajira, nafaham ni dhahiri kuwa wote hatuwezi kuwa wajasiriamali lakini kwanini watu hawa hawabadilishi ule uwezo wa kufundisha kwenda kwenye vitendo?????
wahadhili wengi ni waoga sana wa take risk kwa sababu wanakalukuleti mnoo risks so they end up with loosing even to taking their ideas into practice
Hata PADRE anafundisha kuhusu ndoa na yeye hana NDOA........Sikiliza unachofundishwa na sio kuangalia mfundishaji anafanya nini!
Mkuu kuna baadhi ya mambo bila practice huwezi kuwa best teacher, ndo maana Dr na fani nyingine lazima waende mazoezi kwa vitendo. Moja ya tatizo kubwa sana linaloikabili sekta ya kilimo na mifugo hapa nchini ni tatizo la wahitimu wengi kuto practice wanachoamini, haiwezekani wewe ni bwana shamba au mifugo huta hat ekari moja unayolima wala mbuzi mmoja! utamshauri nini mwanakijiji? Kocha mzuri sana wa mpira ni yule ambaye zamani alikuwa mchezaji na siyo hawa commentators au mashabiki. Mengi au Baressa wanaweza kuwa waalimu wazuri sana wa ujasiriamali.
Mourinho, Wenger na Villas-Boas walicheza mpira wapi?
Wenger alicheza kwa FRANCE! ila mourinho hakucheza! AVB hapana!