kwahiyo hata mimi nikiajiriwa kuwa auditor, ina maana ujasiriamali wangu ni kukagua mahesabu?
au nikiajiriwa mwalimu ina maana ujasiriamali wangu ni kufundisha wanafunzi?? sijui nimeenda sawa na ulichokisema?
Mourinho, Wenger na Villas-Boas walicheza mpira wapi?
we umenielewa vizuri aisee.... kwanini yeye asifungue hicho kiwanda atengeneze pesa zaidi.
Kuna jamaa tupo nae arusha anauza vitabu vya "Jinsi ya kuwa tajiri huu mwaka wa 4 anaviuza sasa ndio tunajiuliza kwanin asivisome yeye ili awe tajiri? Au hajui kusoma au mganga hajigangi?