Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Nimekaa nawaza kwanini watekwaji wanakufa vifo vya kuteswa sana mpaka kiasi cha kufikia hatua ya kupigwa nondo mpaka kufa?
Lengo la watekaji huwa nini Kuna taarifa gani huwa wanazitaka kutoka kwa mtu waliomteka? Kama mtu atateswa na kutoa siri Kuna haja gani ya kumpoteza uhai wake?
Lengo la watekaji huwa ni nini kwanini watu Hawa wanamiliki silaha lakini watu wanaowateka wanawauwa kinyama sana
Lengo la watekaji huwa nini Kuna taarifa gani huwa wanazitaka kutoka kwa mtu waliomteka? Kama mtu atateswa na kutoa siri Kuna haja gani ya kumpoteza uhai wake?
Lengo la watekaji huwa ni nini kwanini watu Hawa wanamiliki silaha lakini watu wanaowateka wanawauwa kinyama sana