Kwanini wanaotekwa wengi huteswa kwanza kabla ya kuuawa?

Kwanini wanaotekwa wengi huteswa kwanza kabla ya kuuawa?

Nimekaa nawaza kwanini watekwaji wanakufa vifo vya kuteswa sana mpaka kiasi cha kufikia hatua ya kupigwa nondo mpaka kufa?

Lengo la watekaji huwa nini Kuna taarifa gani huwa wanazitaka kutoka kwa mtu waliomteka? Kama mtu atateswa na kutoa siri Kuna haja gani ya kumpoteza uhai wake?

Lengo la watekaji huwa ni nini kwanini watu Hawa wanamiliki silaha lakini watu wanaowateka wanawauwa kinyama sana
Maagizo kutoka juu.
 
Tz bhana asa mty unamteka mfano sativa anaulizwa mambo ya akaunit ya kigogo wapi na wapi kuna vitu gavinake sense unamteka mtu then una mshinikiza kuhusu account ya twitter ni ya nani it doesnt makin' any sense.
 
Nimekaa nawaza kwanini watekwaji wanakufa vifo vya kuteswa sana mpaka kiasi cha kufikia hatua ya kupigwa nondo mpaka kufa?

Lengo la watekaji huwa nini Kuna taarifa gani huwa wanazitaka kutoka kwa mtu waliomteka? Kama mtu atateswa na kutoa siri Kuna haja gani ya kumpoteza uhai wake?

Lengo la watekaji huwa ni nini kwanini watu Hawa wanamiliki silaha lakini watu wanaowateka wanawauwa kinyama sana
Waulize CCM ndugu yangu. Hao ndiyo wahusika na wananufaika na utekaji huu
 
Nimekaa nawaza kwanini watekwaji wanakufa vifo vya kuteswa sana mpaka kiasi cha kufikia hatua ya kupigwa nondo mpaka kufa?

Lengo la watekaji huwa nini Kuna taarifa gani huwa wanazitaka kutoka kwa mtu waliomteka? Kama mtu atateswa na kutoa siri Kuna haja gani ya kumpoteza uhai wake?

Lengo la watekaji huwa ni nini kwanini watu Hawa wanamiliki silaha lakini watu wanaowateka wanawauwa kinyama sana
Wengi wepi hao? ungetuelezea na sisi tuwahamu waliotekwa na kuteswa kabla kuuliwa, kama huwajuwi tuelezee japo matukio.
 
Back
Top Bottom