Kwanini wanaotekwa wengi huteswa kwanza kabla ya kuuawa?

Maagizo kutoka juu.
 
Tz bhana asa mty unamteka mfano sativa anaulizwa mambo ya akaunit ya kigogo wapi na wapi kuna vitu gavinake sense unamteka mtu then una mshinikiza kuhusu account ya twitter ni ya nani it doesnt makin' any sense.
 
Waulize CCM ndugu yangu. Hao ndiyo wahusika na wananufaika na utekaji huu
 
Wengi wepi hao? ungetuelezea na sisi tuwahamu waliotekwa na kuteswa kabla kuuliwa, kama huwajuwi tuelezee japo matukio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…