Kwanini wanasema SUPER GRO

Bei yake ni shilingi ngapi nakwanini ukienda kwene maduka ya pembejeo huikuti.? Yn nikama inauzwa kwa connection
Kwasababu super gro sio mbolea na ndio maana Huwezi ikuta kwenyew duka za pembeje
 

Attachments

  • IMG-20221206-WA0006.jpg
    164.7 KB · Views: 34
Mara ya mwisho nilinunua nusu lita kwa 25,000, kuna sehemu wanauza nusu lita 35,000.
 

Mimi sidanganyiki. Nimeshawahi kuitumia na sitoitumia tena. Namshukuru Mungu mazingira yangu yanaruhusu kufuga hata kuku kwa kuanzia natumia mbolea ya kuku wangu, na pia msimu wa mvua kukaribia naagiza trip kadhaa za mbolea ya ng'ombe kutoka kwa wafugaji wa ng'ombe. hizo mbolea za dukani nitakuwa nagusisha tu buboost. Nasema hivi kwa sababu kuna mwaka nilipigiwa promo ya Super Gro na mtu ninayemheshimu sana, yaani mbwembwe alizoniwekea nikajisemea mwaka huu patachimbika wakati wa mavuno labda mvua zisumbue. Aisee sijaona tofauti yoyote. Ujinga wa hawa promoters penye kaukweli kidogo wanakujazia sifa kibao. Ni sawa na hawa wanaouza sabuni na mafuta ya kupaka kwenye mabasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…