Hellenjollyini
New Member
- Sep 18, 2022
- 2
- 0
Bei yake ni shilingi ngapi nakwanini ukienda kwene maduka ya pembejeo huikuti.? Yn nikama inauzwa kwa connect
Kwasababu super gro sio mbolea na ndio maana Huwezi ikuta kwenyew duka za pembejeBei yake ni shilingi ngapi nakwanini ukienda kwene maduka ya pembejeo huikuti.? Yn nikama inauzwa kwa connection
Wengi mmetema cheche za kutosha ila kila kitu kinahitaji UTAFITI na MAJARIBIO kama hujaitumia super gro kwa kufuta utaratibu ndipo utabaki kusema watu wanaipromo lakini ukishatumia kwa kufuata utaratibu na kuijaribu utaona matokea yake
Kuhusiana na kutokuuzwa kwenye pembejeo ni kulingana mfumo wa biashara wa kampuni inavyosambaza bidhaa zake kwahiyo sio kila kitu kinakua katika mfumo wa biashara uliozoeleka
Kampuni nyingi zinazalisha bidhaa ikiwemo tajwa hapo juu kama gnld kwa upande wangu nasisitizi kua uwe wakala wa hiyo kampuni au usiwe bidhaa yoyote lazima uichunguze na kuijua pia ufanyie majaribio(ikiwezekana) wewe unaweza sema haifai kwa kuhadithiwa na watu ila wenzako waliotumia redhanded wameona manufaa yao
vipimo vyake vikoje kama hautajali.... (Matumizi)Aquawet 15SL kutoka kampuni ya osho
vipimo vyake vikoje kama hautajali.... (Matumizi)
1ml per 1L...na Haina bei kubwa kivileee...nadhan Lita Moja haizid 15kvipimo vyake vikoje kama hautajali.... (Matumizi)
Shukrani sana mkuu1ml per 1L...na Haina bei kubwa kivileee...nadhan Lita Moja haizid 15k
Hii inafaa kwa mahindi?Aquawet 15SL kutoka kampuni ya osho