Wengi mmetema cheche za kutosha ila kila kitu kinahitaji UTAFITI na MAJARIBIO kama hujaitumia super gro kwa kufuta utaratibu ndipo utabaki kusema watu wanaipromo lakini ukishatumia kwa kufuata utaratibu na kuijaribu utaona matokea yake
Kuhusiana na kutokuuzwa kwenye pembejeo ni kulingana mfumo wa biashara wa kampuni inavyosambaza bidhaa zake kwahiyo sio kila kitu kinakua katika mfumo wa biashara uliozoeleka
Kampuni nyingi zinazalisha bidhaa ikiwemo tajwa hapo juu kama gnld kwa upande wangu nasisitizi kua uwe wakala wa hiyo kampuni au usiwe bidhaa yoyote lazima uichunguze na kuijua pia ufanyie majaribio(ikiwezekana) wewe unaweza sema haifai kwa kuhadithiwa na watu ila wenzako waliotumia redhanded wameona manufaa yao