Kwanini wanasiasa wa Tanzania kuanzia Ubunge wanaingia nyumba za ibada na walinzi? Nchi haina amani au kwao Mungu si kinga?

Kwanini wanasiasa wa Tanzania kuanzia Ubunge wanaingia nyumba za ibada na walinzi? Nchi haina amani au kwao Mungu si kinga?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Wagombea Ubunge wengi safari hii walijiwekea walinzi bunafsi. Baadhi ya Walinzi Hawa uwakuti kila sehemu ila uonekana pale mgombea anapokwenda maeneo walipo wanahabari.

Mzee baba akiwa kwenye nyumba ya ibada asilimia kubwa ya waumini uwa ni Walinzi, Jana nimemwona Gwajima na Abbass wakiwa kanisani nyuma yao Kuna Walinzi, nikajiuliza ulinzi uliopo kanisani hautoshi hadi tuongeze na wanadamu nyuma yetu?

Ni sahihi kwenye masinagogi tukajitwalia utukufu kwa kuwaaminisha wanadamu kuliko Mungu?

Hivi hata huko kwenye miungu (waganga) tunaingiaga na Walinzi? Bar, tunaingiaga na Walinzi? Lodge na mahotelini tunaambianaga na Walinzi?
 
Mzee Baba ameidharau Corona kanisani kwamba haiwezi kushindana na dua. Lakini kanisani humohumo robo ya alioingia nao kanisani ni mashushu wenye pistol viunoni kumlinda yeye. Tumeona hayo jana kanisani Chamwino Dodoma. Kumbe kwenye pistol Mungu hana uwezo na Dua haisaidii?
 
Wagombea wa CCM hawaamini katika nguvu na uweza wa Mungu. Hirizi na chale miilini mwao ndio tumaini lao
 
Katika kipindi hiki cha kurudisha form wagombea wanaweza wakatekwa si unajua chama cha majambazi mipango yao?
 
Mzee Baba ameidharau Corona kanisani kwamba haiwezi kushindana na dua. Lakini kanisani humohumo robo ya alioingia nao kanisani ni mashushu wenye pistol viunoni kumlinda yeye. Kumbe kwenye pistol Mungu hana uwezo na Dua hazifai?
wanadamu walivyo na roho mbaya wamuache rais aingie bila ulinzi si watamuondoa watu si watu siku hizi
 
wanadamu walivyo na roho mbaya wamuache rais aingie bila ulinzi si watamuondoa watu si watu siku hizi

Ni hofu iliyojengwa. Umtendeavyo mwenzako, ndivyo utakavyotendewa. Anayeua kwa upanga hufa kwa upanga.
 
Back
Top Bottom