Kwanini wanauliza baada ya tendo?

Kwanini wanauliza baada ya tendo?

kaka kwanini unaniumbua hivi? mbele ya kadamnac jamani.

Si muhimu kumjibu yeye, lakini naomba ujibu hili la kwangu. Hivi ati bado kuna wanawake wanaolewa wakiwa na bikra? Au tuseme hata nikimpata gf mpya nikamkuta bikra is that normal, or isn't something wrong with her?
 
Mmemegana na binti kwa mara ya kwanza, hujatumia kondom.
Muda wote wote wa tukio anatoa ushirikiano ile mbaya,
mkimaliza shughuli ndio anauliza "Tumefanya bila kondom, nikipata mimba je?"
Yaani hofu ya ukimwi na magonjwa mengine ambukizi hana, hofu kuu ni mimba tu.

TII KIU YAKO halafu ON TO THE NEXT ONE
 
Si muhimu kumjibu yeye, lakini naomba ujibu hili la kwangu. Hivi ati bado kuna wanawake wanaolewa wakiwa na bikra? Au tuseme hata nikimpata gf mpya nikamkuta bikra is that normal, or isn't something wrong with her?[/QUOTE]

wapo lakini kwa cku hizi fani nayo imevamiwa, kuna fake pia, sasa ndio ugumu unaanzia hapo kujua ipi fake ipi original, hakuna tatizo lolote kumkuta binti bikra c atakuwa ameamua tu mwenyewe kujitunza?....
 
Mmemegana na binti kwa mara ya kwanza, hujatumia kondom.
Muda wote wote wa tukio anatoa ushirikiano ile mbaya,
mkimaliza shughuli ndio anauliza "Tumefanya bila kondom, nikipata mimba je?"
Yaani hofu ya ukimwi na magonjwa mengine ambukizi hana, hofu kuu ni mimba tu.

Pole sana mkuu....! Inaonekana roho iko juu....!
 
hivi bado kuna watu wanafanyaga hayo mambo bila vitendea kazi?...haaa haya mambo bwana, mie nilikuwa ckubali kabisa mbegu ya mwanaume iingie mwilini kwangu, kwa ajili ya nini wakati kuna vitendea kazi?

i like hiyo terminology....vitendea kazi....aka tools of trade :glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Si muhimu kumjibu yeye, lakini naomba ujibu hili la kwangu. Hivi ati bado kuna wanawake wanaolewa wakiwa na bikra? Au tuseme hata nikimpata gf mpya nikamkuta bikra is that normal, or isn't something wrong with her?[/QUOTE]

wapo lakini kwa cku hizi fani nayo imevamiwa, kuna fake pia, sasa ndio ugumu unaanzia hapo kujua ipi fake ipi original, hakuna tatizo lolote kumkuta binti bikra c atakuwa ameamua tu mwenyewe kujitunza?....

Mie akinipa tu nikamkuta bikra nani hii yangu ina sense kujua ni orijino au feki
 
"Tumefanya bila kondom, nikipata mimba je?"
Yaani hofu ya ukimwi na magonjwa mengine ambukizi hana, hofu kuu ni mimba tu.

Matokeo ya Ukimwi ni ya muda mrefu, lakini matokeo ya mimba ni ya muda mfupi, kama kawaida ya binadamu, katika kila kitu tunachohofia ni muda.
 
Nilimuuliza dada yangu hivi.....

Kwani ulishafanzwa na wangapi?

Kumbe siku ile tunacheza alaji kwenye harusi yako hukuwa bikira? LOL!

Dada yangu akanijibu hivi!!

kaka kwanini unaniumbua hivi? mbele ya kadamnac jamani.

Kumbe sikujua mpaka aliponistua mtumishi huyu hapa......

Asprin unatarajia kujibiwa hili swali? Utangoja milele!
Hivi ulijuaje kamanda?:confused2::confused2::confused2:
 
Ni hapo tu ninapotatizika na akili za hawa (mama na dada zetu).
Kwani huwa wanaogopa mno MIMBA, kuliko magonjwa mengine yoyote. NI MWANAMKE malaya tu (anayeuza uchi) ndiyo anakuwa makini wakati wa kusex. wengineo maamuzi yote anayo mwanaume, pERIOD.
 
Ni hapo tu ninapotatizika na akili za hawa (mama na dada zetu).
Kwani huwa wanaogopa mno MIMBA, kuliko magonjwa mengine yoyote. NI MWANAMKE malaya tu (anayeuza uchi) ndiyo anakuwa makini wakati wa kusex. wengineo maamuzi yote anayo mwanaume, pERIOD.

hizo ni type za wanawake wenu mnazokutanaga nazo...
 
Mara nyingi ni kwa sababu ya Mtu Mate kumdondoka, kanyama kameshikwa na mtego kiulaini, IBILISI kaja juu, Mtumeeee!!!!!!!!.Maji kesha mwagika, hamadi mwana wa watu, yabaki kumsalia mtume
 
Mmemegana na binti kwa mara ya kwanza, hujatumia kondom.
Muda wote wote wa tukio anatoa ushirikiano ile mbaya,
mkimaliza shughuli ndio anauliza "Tumefanya bila kondom, nikipata mimba je?"
Yaani hofu ya ukimwi na magonjwa mengine ambukizi hana, hofu kuu ni mimba tu.


Mkuu hilo swala ni zito sana kumbuka shughuli inavyokuwa siku ya kwanza sitaki nataka nyingiiii.Hata hiyo condom utaikumbuka na ukikosea kukumbuka condom unamkuta mwenzio keshavaa nguo zamani yupo mlangoni,ndo maana watu wengi yanawakuta hayo.Na kwa wengine wale waniangusage sijui muda wa kuvaa zana unatoka wapi maana pilka zake mpaka ulipate tundi anazijua bwana..............
 
Hivi kondomu inapatikana wapi na inavaliwaje? Sisi tuliozoea "adamu na eva" aka "live cables" aka "pure leather" aka "wana-utelezi" hatujui hayo mambo yenu ya cjui kondoo-mgumu, mapulizo nk. Tunaambiwa tu kwamba siku hizi kuna kondomu za kupikia na kupakulia, kondom za mkono wa bibi harusi, na kondom wanazovaa magolikipa wa mpira wa miguu. Tumeambiwa kwamba kuna kondomu za akina mama sasa haya mambo ya kuingiza kiroba kwenye nyeti za akina mama mbona ni sawa tu na utengenezaji wa LIMBWATA? Tuelimisheni wajemeni.
 
hivi bado kuna watu wanafanyaga hayo mambo bila vitendea kazi?...haaa haya mambo bwana, mie nilikuwa ckubali kabisa mbegu ya mwanaume iingie mwilini kwangu, kwa ajili ya nini wakati kuna vitendea kazi?
Nyamayao nilidhani ni mkubwa kumbe umeanza kungonoka kipindi cha kondomu? enzi zetu ilikuwa kupata kondom mpaka uwe na ndugu hospitali ya muhimbili tena zilikuwa kwa ajili ya kuzuia mimba na ukiivaa demu anaweza kukimbia
 
hivi bado kuna watu wanafanyaga hayo mambo bila vitendea kazi?...haaa haya mambo bwana, mie nilikuwa ckubali kabisa mbegu ya mwanaume iingie mwilini kwangu, kwa ajili ya nini wakati kuna vitendea kazi?

Hii inaonyesha wakaka hawajali kabisaaaaaaaaaaaaaaa! maana wao mimba hawapati, so kazi kwa anayepata mimba kujilinda. Tutafika kweli jamani?
 
Nyamayao nilidhani ni mkubwa kumbe umeanza kungonoka kipindi cha kondomu? enzi zetu ilikuwa kupata kondom mpaka uwe na ndugu hospitali ya muhimbili tena zilikuwa kwa ajili ya kuzuia mimba na ukiivaa demu anaweza kukimbia

Funzadume bwana..lol, kwani kipindi cha kondom ni kipi?...
 
Si muhimu kumjibu yeye, lakini naomba ujibu hili la kwangu. Hivi ati bado kuna wanawake wanaolewa wakiwa na bikra? Au tuseme hata nikimpata gf mpya nikamkuta bikra is that normal, or isn't something wrong with her?[/QUOTE]

wapo lakini kwa cku hizi fani nayo imevamiwa, kuna fake pia, sasa ndio ugumu unaanzia hapo kujua ipi fake ipi original, hakuna tatizo lolote kumkuta binti bikra c atakuwa ameamua tu mwenyewe kujitunza?....

labda utujuze nyamayao,we wakati unaolewa mumeo alikukuta na hiyo Bikira??????
 
Hivi kondomu inapatikana wapi na inavaliwaje? Sisi tuliozoea "adamu na eva" aka "live cables" aka "pure leather" aka "wana-utelezi" hatujui hayo mambo yenu ya cjui kondoo-mgumu, mapulizo nk. Tunaambiwa tu kwamba siku hizi kuna kondomu za kupikia na kupakulia, kondom za mkono wa bibi harusi, na kondom wanazovaa magolikipa wa mpira wa miguu. Tumeambiwa kwamba kuna kondomu za akina mama sasa haya mambo ya kuingiza kiroba kwenye nyeti za akina mama mbona ni sawa tu na utengenezaji wa LIMBWATA? Tuelimisheni wajemeni.


kumbe hata jina lako hukusingiziwa,linaendana na hiyo ''comment'' yako
 
Na wengine ndio kabisa wewe mwanaume usipochukua condom ujue ndio imetoka hiyo..atakuuliza tu condom unazo? ukimwambia sina kinachofata ni " nikipata mimba shauri yako" hovyooo!!
 
Back
Top Bottom