Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
nampenda waifu wangu lakini OLE WAKE ANYANYASE WATOTO KWA KISINGIZIO ETI SIO WAKE, ATAKOMA!
we are sailling in the same boat brother,...Nyani hebu nenda chungulia mjadala kwenye chumba cha intelligence_i knw you can add value mkuu...respectMimi sijaoa ila nami nasema ole wake huyo mke aninyanyasie mwanangu. Nitampa kilema cha maisha. Kwanza, mwanangu doesn't take shit from no one. Akihisi tu kanyanyaswa..she has me on speed dial. And for her I'll drop everything I'm doing just to tend to her.
Mimi sijaoa ila nami nasema ole wake huyo mke aninyanyasie mwanangu. Nitampa kilema cha maisha. Kwanza, mwanangu doesn't take shit from no one. Akihisi tu kanyanyaswa..she has me on speed dial. And for her I'll drop everything I'm doing just to tend to her.
Msisahau kuna wababa pia hunyanyasa watoto wa wake zao jamani. Mie nilisimuliwa na mke wa binamu yangu,sikuamini kama ndugu yangu anaweza kuwa mshamba na mbinafsi namna ile! Japo unyanyasaji ni silika ya mtu!
kama unamsimamo huo hongera sana .....wengine sijui inawakolea sana au ujinga sifahamu watoto wana nyanyaswa na yeye hasemi halafu na yeye anajiita mwanamme.
................tawire baba tawireeeUtakuta mwanamme ana mke na watoto,hao watoto mkeo ni mama yao wa kambo, na huyo mke anawanyanyasa kishenz hao watoto,lakni wanaume tunauchuna kama hatuoni vile.hadi hao watt wanapata madhara kimasha au kisaikology nawengine wanageuka chkoraa, reseach yangu ndogo inaonesha asilimia 90 ya wananume hatusolve ishu kama hizo,wanaume tuwe macho tutenganishe kati ya mapenzi na future za watoto.nampenda waifu wangu lakini OLE WAKE ANYANYASE WATOTO KWA KISINGIZIO ETI SIO WAKE, ATAKOMA!
.....Ndio nini?limbwata!
Mara nyingi hii hutokea saana, But kama ilivo ngumu kujua tabia ya mwanao mtaani ndo ilivo ngumu pia kujua tabia ya Mkeo mdogo kwa wanao... Wanawake wengi wa sampuli hii ni wajanja mno maana hua na maneno ya kujenga kuhusu hao watoto kwa baba yao while at the same time akiwatesa asipokuwepo... Huku as time goes on anaanza kuzusha tabia mbovu kwa watoto hao ili tu baba yao awaone wao ndio wakosaji. Na tamaduni zetu hizi za kaka/baba zetu kurudi hali watoto wamelala ndo balaa kabisa maana haelewi nini kinaendelea kwa watoto humo ndani... sad.
.....Ndio nini?
na mimi kama baba ni marufuku zaidi mwanangu kulelewa na baba wa kambo_hapo sasa.