Kwanini wanaume hawapendi kutumia condom?

Kwanini wanaume hawapendi kutumia condom?

Kwanini mwanaume hapendi kutumia condom? Anasingizia haiwezi kusimama, na ukimwambia tukapime anasema ntapima ntakavojiskia sio kunilazimisha mara Sijui tukipima tutakua free sana itakua risky
Yani inshort haeleweki.
So nimblock uyu mwanaume Au nimwambie tu we are better off as friends.
Kwa nini unakua na bwana kibaka?
 
Kwanini mwanaume hapendi kutumia condom? Anasingizia haiwezi kusimama, na ukimwambia tukapime anasema ntapima ntakavojiskia sio kunilazimisha mara Sijui tukipima tutakua free sana itakua risky
Yani inshort haeleweki.
So nimblock uyu mwanaume Au nimwambie tu we are better off as friends.
Njoo kwangu
 
Huyu anapaswa afungwe mbona mwanamke hata kama hataki mpaka mpime ukiingia kimahaba atajikuta ameserebuka ndo anajiuliza ilikuwaje bila ndomu

Acheni uzinzi
 
Wanawake ni viumbe wa hisia.

Kama analazimisha mwanaume avae kondom,vaa. Huwa wanajali mwanzo mwanzo tu,ila wakishanogewa na penzi hata hawakumbuki stori za kondom tena.

Lakini Mimi binafsi nikitumia hiyo kitu naona kama nimevaa mfuko,saikolojia inabadika kabisa,najikuta sienjoy kabisa.
Ko Dr wee hutumii kinga kabisaa,? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanini mwanaume hapendi kutumia condom? Anasingizia haiwezi kusimama, na ukimwambia tukapime anasema ntapima ntakavojiskia sio kunilazimisha mara Sijui tukipima tutakua free sana itakua risky
Yani inshort haeleweki.
So nimblock uyu mwanaume Au nimwambie tu we are better off as friends.
Kama wote wangetumia condom sijui kama ungekuwepo
 
Back
Top Bottom