Kwanini wanaume hawapendi kutumia condom?

Kwa nini unakua na bwana kibaka?
 
Njoo kwangu
 
Huyu anapaswa afungwe mbona mwanamke hata kama hataki mpaka mpime ukiingia kimahaba atajikuta ameserebuka ndo anajiuliza ilikuwaje bila ndomu

Acheni uzinzi
 
Ko Dr wee hutumii kinga kabisaa,? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama wote wangetumia condom sijui kama ungekuwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…