Kwanini wanaume hutoa msaada haraka kwa wasichana kuliko kwa wavulana?

Kwanini wanaume hutoa msaada haraka kwa wasichana kuliko kwa wavulana?

Nguva Jike

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2018
Posts
1,226
Reaction score
1,757
Habari za jioni.

Yaani si ofisini si kwenye lift si kwenye sehemu yoyote msichana akiomba msaada anasaidiwa haraka sana.

Balaa kwa madume hata litoe machozi halipewi msaada.Mwenye gari anaweza kuwapita wanaume watatu akifika mbele akaona mdoli atafunga breki mpaka gari lisote na atafungua mlango demu aingie.

What's wrong with madume?
Huko maofisini mmh eka idu.
 
sidhani kama lina ukweli hilo wanaofanya hivyo ni boys sio real mens
wanaume wa kweli tuna heshimu wanaume wenzetu tena tunapeana kipaumbele sana

tena mara nyngi kama mwanaume mwenye familia huwa anakuwa anajua mwanume mwenzake mwenye familia anakuwa anajua kuwa wanapitia the same situation
 
Hii ishu imenitokea leo, nimejitafakari sana na nimejidhatiti kuanzia sasa nianze kutreat equally hata kwa ke nikiwa off mood nianze kuwaambia NO kwa herufi kubwa
 
Habari za jioni.

Yaani si ofisini si kwenye lift si kwenye sehemu yoyote msichana akiomba msaada anasaidiwa haraka sana.

Balaa kwa madume hata litoe machozi halipewi msaada.Mwenye gari anaweza kuwapita wanaume watatu akifika mbele akaona mdoli atafunga breki mpaka gari lisote na atafungua mlango demu aingie.

What's wrong with madume?
Huko maofisini mmh eka idu.
Hata wanawake ni hivyo hivyo
 
Habari za jioni.

Yaani si ofisini si kwenye lift si kwenye sehemu yoyote msichana akiomba msaada anasaidiwa haraka sana.

Balaa kwa madume hata litoe machozi halipewi msaada.Mwenye gari anaweza kuwapita wanaume watatu akifika mbele akaona mdoli atafunga breki mpaka gari lisote na atafungua mlango demu aingie.

What's wrong with madume?
Huko maofisini mmh eka idu.
Ni haki yetu Jamani
 
Back
Top Bottom