Kwanini wanaume hutoa msaada haraka kwa wasichana kuliko kwa wavulana?

Kwanini wanaume hutoa msaada haraka kwa wasichana kuliko kwa wavulana?

Habari za jioni.

Yaani si ofisini si kwenye lift si kwenye sehemu yoyote msichana akiomba msaada anasaidiwa haraka sana.

Balaa kwa madume hata litoe machozi halipewi msaada.Mwenye gari anaweza kuwapita wanaume watatu akifika mbele akaona mdoli atafunga breki mpaka gari lisote na atafungua mlango demu aingie.

What's wrong with madume?
Huko maofisini mmh eka idu.
Like charge hukwepana and unlike charge huvutana.
 
Kwasababu ni wavuvi, personally i appreciate msaada kutoka kwa mwanamke mwenzangu, kuliko kwa mwanaume asiyekuwa wangu,

Wanaume siku zote wanacho cha kutudai, na kwangu mimi ni ngumu sana kulipa kwa staili hiyo. Kwahivyo ni bora nisipate msaada wa hivyo.

Misaada from opposite sexy “mara nyingi” sio genuine,
However ni misaada ya haraka sana Kama unapenda penda misaada ask from opposite sexy and by this will make you a “user”.

Lakini pia misaada yao ya hapa na pale inatufanya tujisikie vizuri, Kati ya wanaume 10 utaokutana nao kwa siku, wote 10 au tisa kati yao watakutreat vizuri, wanaufanya ulimwengu uwe mzuri pamoja na hidden agenda zao.

Pokeeni maua.
 
sababu ya usweet
FB_IMG_17255305489743115.jpg
 
Kwa upande wangu mwanaume mwenzangu ndiyo kipaumbele yaani nipo tayari nimpe hata laki 5 bila kunirejeshea na roho inakuwa nyeupe kabisa ila kwa mwanamke hapana hata ten yangu kuionja ni ngumu.

Hao wanaume unaowazungumzia kwamba wanapenda kuwasaidia wanawake kuliko wanaume labda ni wale washamba wa mapenzi ama wametoka huko pembezoni mwa nchi.😆
 
Habari za jioni.

Yaani si ofisini si kwenye lift si kwenye sehemu yoyote msichana akiomba msaada anasaidiwa haraka sana.

Balaa kwa madume hata litoe machozi halipewi msaada.Mwenye gari anaweza kuwapita wanaume watatu akifika mbele akaona mdoli atafunga breki mpaka gari lisote na atafungua mlango demu aingie.

What's wrong with madume?
Huko maofisini mmh eka idu.
Kanuni hipo kwenye fizikia ya kidato cha pili. Vinavyofanana hukwepana na visivyofanana huvutiana.
Hata wanawake kutoa misaada kwa wasichana wenzao ni ngumu, refe case ya mtoto wa buza.
 
Nguvu ya Mungu ya uumbaji ipo hivyo karne na karne na itakuwa hivyo milele
 
Habari za jioni.

Yaani si ofisini si kwenye lift si kwenye sehemu yoyote msichana akiomba msaada anasaidiwa haraka sana.

Balaa kwa madume hata litoe machozi halipewi msaada.Mwenye gari anaweza kuwapita wanaume watatu akifika mbele akaona mdoli atafunga breki mpaka gari lisote na atafungua mlango demu aingie.

What's wrong with madume?
Huko maofisini mmh eka idu.
Mawazo baada ya kunyimwa lift 😂😂😂
 
Mwanamke anaweza akawa na utajiri wa kutosha na hana biashara 😆😆
 
Back
Top Bottom