Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Walishakula ujana wao. Waache wapumzike.

Then vijana wasiwe na wasi wasi maana idadi yao iko sawa kwa sawa but siku hizi hata wanawake hawaridhiki na mwanaume mmoja so mleta mada swali lako ungeuliza kwa jinsia zote mbili
 
Utaweza wapi kusubiri mara oooh leo naumwa mara oooh tumbo,,,,
 
tatizo ni nyie wanawake kwa sababu ukishamzoea sana mume wako unakuta hata hutaki kujishughulisha wala nini katika kupeana mambo ila unakuta unajilaza tu kama gogo basi lengo akojoe aachane na ww. hivyo basi akikutana na anaejishughulisha yani anaeyajua mapenzi unasahaulika kabisa.

Pia kitu kingine kwa wanawake hasa wale ambao ni wasomi wanazingua sana make unaeza kuwa una hamu unataka mambo unaambia weeeeee koma nmechoka sana sina nguvu za kufanya hivo.
 
Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume

Pole kwa yaliyokukuta. Ila **** ziko tofauti na shape na mivuto iko tofauti. Au wewe umewahi kuzi testi???? huwapendi wanaume ila huwezi kumsahau huyo jamaaa, ndo maana unajiita ctakusahau.
 
Last edited by a moderator:
Na Ndio Maana Cku Hz Tunawaumiza Vbaya Tunachukua Hata Watoto Wenu Ili Muache Ushenzi Wenu

Nawapongeza wanaokuzidi kete, we endelea kubwabwaja humu watu wanakula mzigo wako kiulaiiiiiiiiiiiiiiiniiiiiiii.
 
Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume

umejuaje ladha ni ile ile uliwahi kuvaa husika wa kiume ukajaribu, au unaongea tuu?
 
That stick between their legs haven't gone to school! So it responds to anyone who knows how to flash it well.
 
Unaposema wanaume hamridhiki... nini hasa?
Maana kama ni michepuko siku hizi akina mama wapo mstari wa mbele

Hili ni droo game yaani! Sema basi tu sisi wanawake tunaonekana tunaonewa sababu tunaongea sana matatizo yetu! am sure kuna wanaume ambao wake zao huchepuka wakati wao wapi trustful.
 
Hahahaaa! Aliingia kichwakichwa wamemega na kusepa.

thubutuuuu! mwanamke kamili hakimbiwi analiliwa na magoti anapigiwa! hata uwe pakashume vipi! utarudisha mpira kwa kipa tuu.
 
Pole kwa yaliyokukuta. Ila **** ziko tofauti na shape na mivuto iko tofauti. Au wewe umewahi kuzi testi???? huwapendi wanaume ila huwezi kumsahau huyo jamaaa, ndo maana unajiita ctakusahau.

ha ha mi sisemii! ni mwanamke mwenzangu ngoja nikamuulize pm.
 
Last edited by a moderator:

Kweli kabisaa! sie tunajisahau saaana unakuta mtu kabla hajaolewa anajituma! sarakasi zote anaputuka anajifanya mwepesii kama mjapani! akishaolewa tuu anayaacha yote! hapo ndipo mambo huanza kwenda mrama ye atatafuta mchawi. Mengine twakosea wenyewe na tunakua wa kwanza kulia.
 
thubutuuuu! mwanamke kamili hakimbiwi analiliwa na magoti anapigiwa! hata uwe pakashume vipi! utarudisha mpira kwa kipa tuu.

Usijidanganye mkuu... Wapo watu wakikimbia ndo hawarud tena.
 
hata funguo inayofungua kuful nyingi inaonekana bora zaid ndo maana kufuli/kitasa chenye kufunguliwa na kila funguo hakifai, ni cha kutupa/kibovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…