Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume

Wewe acha kujidanganya,ladha si moja,hebu chukua mhaya,mrangi,msukuma,mnyakyusa na mdigo wa tanga uone kuna utofauti mkubwa sana
 
Ukiona mwanaume anatoka nje kuna anachokikosa ndani period
 
duu dada kama sijakosea,, mi nimeoa nina miaka saba sasa.but mke haeleweki kwenye suala la mapenzi,, napata shida tena sana sijui utanisaidiaje.
 
ctakusahau

Unawauliza wanaume wa kiislamu ama wote? Duniani idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume, na hao wote wanahitaji huduma. Waislamu wamejaribu kusawazisha lakini Wakatoliki i.e. mapadre wakaongeza pengo tena.

Kwa kifupi demand ya wanaume kwa wanawake ni kubwa kuzidi supply, aha aha aha!!
 
Last edited by a moderator:

Nimecheka aisee
 
Wanajiendekeza Tu Uchi Uleule Radha Moja Coni Mm Kilichobdilika Nn Nyege Zenu Tu Puuuuh Cwapendi Wanaume

ctakusahau;
mambo gani haya tena kujitangaza kuwa msagwaji humu jf. Ka hupendi wanaume basi wawapenda wake wenzio. Pole sana, natamani ukutane na kidume kikutoe jasho. Unachezea midoli na jirani anakumezea mate
 
hata funguo inayofungua kuful nyingi inaonekana bora zaid ndo maana kufuli/kitasa chenye kufunguliwa na kila funguo hakifai, ni cha kutupa/kibovu

Dah! Hapa kuna bonge la maana, Asiekuelewa basi tena!
 
You cant avoid nature, u can just control it. Hebu turudi maandikoni, Ibrahim alikua na wake 2, Jacob au baba yake Yusuf (Joseph) alikua,na wake 2, Sulemani alikua na wake wengi, Daudi biblia inasema alilala na mke wa askari wake. Kwa hiyo tangu enzi wanaume walikua na wanawake wengi, haya mambo ya mke mmoja au mwanamke 1 tumeyaleta sisi na madhara yake tunayaona. Nawapa big up Waislam, jamaa wanaenda na hali halisi ya maisha na maumbile ya,mwanadaam.
Mi mwenyewe ninao 2.
 

Hii observation sii mchezo, du!
 
Mfalmeq.seleman

mfalmeq.daudi


nk

pitiahao cheki. Kwaniniq.walikuwaq.wanawakeq.wengi. Mpakawanakufa
 
Kwa sababu huwezi kula ugari maharage kila siku.... Utakinai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…