Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kama beberu alivyo na wanaume wapo hivyo japo hufika mahali hutuliza kibolo chao.... ni wakupewa muda na kusisitiziwa kuna maradhi huko nje na hakikisha unaishi maisha mazuri kupitia yeye usiache kuomba pesa .. yaani usisuse yani wee piga vyako mpaka akae ajiulize hivi mchepuko ni wife kwa sababu demand haziishi .. pendeza kwa pesa zake .... ila ukiweka gubu tu oooh ohoooo atachepuka mapaka kaburini
 
Can be a fact maybe
 
Interesting thing
 
Ukiona hivyo lazima kuna shida ndani kwa ndani , watu wa nje sio rahisi kujua
 
Kuna wanawake wanaboa km wanawake wazuri hasa kwenye mahusiano?sijui labda mimi tu ila kwa upepo huu nilionao nishwahi kudate wanawake wazuri kweli kweli km 4 hivi ila wote walikuwa bogus cha maana nilichopata nikusifia tu na masela...sichangii nakukumbusha tu uzuri pekee sio kigezo ingawa tukiwa na nyege zetu uzuri wako utakusaidia kiasi......
 
Haha haha Dada ... Ndo kazi yako eeh
 
Mojawapo ya comments bora sana…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…