Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Mkuu Hili Jambo Nimelifanyia Utafiti Wa Kutosha

Ingefaa Unifuate PM kwa Ripoti Kamili>>>

Sipendi Uteseke Moyoni Kwa Jambo Hili Njoo PM.
 
Mara nyingi huwa ni tamaa
 
Endelea...
 
Asante.
 
Hatari sana
 
Dah kuna watu wana akili bhana... Uchambuzi murua kabisa huu
Hao ndio maprof wa ukwel siyo hawa wetu wachumia tumbo.

Asante mkuu kwa nondo hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…