Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
"THE MEANING OF A SCAR RING OF A MAN'S PENIS (kwa waliotahiriwa) IS THAT THE WOMAN WHO WILL EXPERIENCE THAT RING SHOULD HAVE HIS RING ON HER FINGER ie.SHOULD BE HIS WYF"....
Sababu inaweza kuwa
1.Hawawaoni wa kuwaoa
2. Waoga.
3. Hawajajipanga kimaisha.
4.zinginezo...
wanakimbia majukumu haooooooo!.....coz hawajui jinc ya kumtunza mke....na zaid wanapenda kuonja different chicks...bt i wanna let ol men know dat;"THE MEANING OF A SCAR RING OF A MAN'S PENIS (kwa waliotahiriwa) IS THAT THE WOMAN WHO WILL EXPERIENCE THAT RING SHOULD HAVE HIS RING ON HER FINGER ie.SHOULD BE HIS WYF"....
Kujiandaa ili kuweza kuhimili gharama kubwa za maisha ya ndoa, kutokuwa na mchumba ambaye muoaji anaona anastahili kuolewa naye, Wanaume wachakachuaji ambao labda baada ya kuumizwa kimapenzi au kusikia/kuona ndugu, rafiki au jamaa aliyeumizwa kimapenzi hivyo kuamua labda hawataki kuoa tena au kutoona umuhimu wa kuoa mapema.
Mimi sijui, japo ni miongoni mwa wasiooa lakini sina majibu........ngoja niendelee kusoma majibu ya wenzangu. Swali langu ni upi umri sahihi wa kuoa? Je kuchelewa kuoa ni pale mwanaume anapofikisha miaka mingapi?
Aiseee....kama ulikuwepo vile, mimi mwenyewe hata sijui kwanini sijaoa/siowi mpaka sasa. Tena wala sijisikii hamu ya kufanya hivyo na wala sina hofu kwanini sijaoa mpaka sasa. Labda wataalam mtutajie umri wa mwisho kuoa labda ntaogopa nifanye fasta. Though ndoa za siku hizi macomplications kibao(vikao, kamati, ukumbi, michango, sijui suti, saloon, vyakula, vinywaji, kadi, sijui ninini na ninini tena) mambo kibao hata kuanziasha kampuni kuna nafuu!
Mara ndugu sijui waende wapi mara wapelekwe sijui kwa nani.....mambo lukuki hadi ndoa inaisha uko hoi! Mweeeee....mie hapana ngoja nisubiri subiri kwanza labda ajilete mwenyewe twende bomani then church, tena huko kwa wazazi wake akamalize mwenyewe mie ntampa mpunga tu apeleke mambo ya sijui kupigana faini, sijui mila amalize mwenyewe hukohuko.[/QUOTE]
Nashukuru nimeanza siku kwa kicheko lol!
5.waolewaji wameisha wamebaki wa kuliwa uroda tu
6.kuoa ni kujiongezea matatizo
7.wanawake wengi wanasema wanataka kuolewa ili kuondoa nuksi,ukishamuoa atakufanyia vituko wee hadi ujute kwa nini umeoa ndo maana mda mfupi tu ndoa inavunjwa.mfano;
sasa hivi karibia ramadhani tutaoa sana baada ya miezi 3 wanawake wataanza kurudi makwao eti wamechoka ndoa.mia
Aiseee....kama ulikuwepo vile, mimi mwenyewe hata sijui kwanini sijaoa/siowi mpaka sasa. Tena wala sijisikii hamu ya kufanya hivyo na wala sina hofu kwanini sijaoa mpaka sasa. Labda wataalam mtutajie umri wa mwisho kuoa labda ntaogopa nifanye fasta. Though ndoa za siku hizi macomplications kibao(vikao, kamati, ukumbi, michango, sijui suti, saloon, vyakula, vinywaji, kadi, sijui ninini na ninini tena) mambo kibao hata kuanziasha kampuni kuna nafuu!
Mara ndugu sijui waende wapi mara wapelekwe sijui kwa nani.....mambo lukuki hadi ndoa inaisha uko hoi! Mweeeee....mie hapana ngoja nisubiri subiri kwanza labda ajilete mwenyewe twende bomani then church, tena huko kwa wazazi wake akamalize mwenyewe mie ntampa mpunga tu apeleke mambo ya sijui kupigana faini, sijui mila amalize mwenyewe hukohuko.
Umezoea vya mteremko,rahisi aghali!