mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Wanaume wa siku hizi hawana shughuli kabisa pulling imekua ndogo japo wanajitahidi kutumia viungo vya kila aina lakini bado yaliyomo hamna kitu.
Wanaume wa siku hata gym sijui wanaenda kufanya nini,pumzi zimekua ndogo wanaishia katikati wamekua wa ovyo sana.
Wanaume jitahidini jaman mnatia aibu mnashindwa hadi na sungura[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Badilisha kichwa cha habari.....si wanaume wote wako hivyo. Hii issue inahusu wanaume wa Dar tu maana wao si wanaume ukweli ni vikaragosi tu. We umeona wapi mtu (mwanamme kijana 20 - 30) anahamka asubuhi anapita kutembea barabarani na begi la shule ndani kuna mihogo ya kuchoma ya jana na maji ya Uhai eti anakwenda masikini kutafuta umbea. Akibahatika kupata demu anajipigia goli lake moja la haraka haraka ili awahi ghetto kusimulia wenzake na kusikiliza bongo fleva zisizo na maana kwake. Mwanamme hawi hivi hata siku moja, never.