Kwanini wanaume wa siku hizi pulling imepungua sana?




Badilisha kichwa cha habari.....si wanaume wote wako hivyo. Hii issue inahusu wanaume wa Dar tu maana wao si wanaume ukweli ni vikaragosi tu. We umeona wapi mtu (mwanamme kijana 20 - 30) anahamka asubuhi anapita kutembea barabarani na begi la shule ndani kuna mihogo ya kuchoma ya jana na maji ya Uhai eti anakwenda masikini kutafuta umbea. Akibahatika kupata demu anajipigia goli lake moja la haraka haraka ili awahi ghetto kusimulia wenzake na kusikiliza bongo fleva zisizo na maana kwake. Mwanamme hawi hivi hata siku moja, never.
 
Amia mkoani huko hao ndugu zetu wanakula biscuit na juice ya ukwaju wamevimbiwa unategemea nini
 
Umekutana na wanaume wangapi???any way wanaume unaokutana nao wewe ndo wapo hivyo si wote
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti unahisi

Naona kwa avatar vinywaji vyako unavyojidunga mm hivyo si nakufa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nahisi sipo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unasifu wa zamani kwa story za kusikia!! Hujui wa bibi wetu walikuwa hawasemi udhaifu wa babu zetu?
Mnatunyima wanaume raha ya kuishi kwa kutukosoa kwa kila jambo. Ukifanya ngono vizuri, mnatukosoa kwa kukosa pesa.
Ukiwa na pesa na mngonoka mzuri, mnatukosoa kwamba hatuko romance, tunaparamia tu! Msituchoshe!!!!!!!!
 
Ww ni wa zamani au wa siku hz
 
Tatizo ni kwamba wadada siku hizi mnauzi papuchi,
na mtu ukienda kununua bidhaa dukani
hununui ili bidhaa iishe bali unanunua kwa
kadri ya mahitaji yako,ndo maana siku hizi
ni mwendo wa chapa ilale.
 
Dah hili andiko limenishtua sana... Kama vp tutafutane ukiondoka hujaridhika basi una pepo, nakurudishia chenji yako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti unahisi

Naona kwa avatar vinywaji vyako unavyojidunga mm hivyo si nakufa kabisa
hahahah.... hata siyo vyangu nimeiba picha ya watu nimeweka avatar πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti unahisi

Naona kwa avatar vinywaji vyako unavyojidunga mm hivyo si nakufa kabisa
ndiooo nahisi insta babe maana sijawahi kulalamikiwa πŸ˜‚
 
dah sungura kashafahidi mamaee
 
Nenda kwa mbwa madume yatakuridhisha na ngono zako. Wanawake ndio mnaosababisha wanaume wawe na misongo ya mawazo mpaka madushelele yak hayasimami kisha kuwawaza nyie msioridhika na bao moja au mbili.

Nani aliwaambia mkitiwa mpaka bao 6 ndio mkajisifie kwa wanawake wenzenu. Shwaiin
 
Mbongo halisi wa daslam naona unajiongelea maisha yako kwa huyo mwanamke aliyejizoelea kujiuza utakuja kufa mapenzi sio kazi ya kubeba zege
 
Aisee kwa kauli hii utakuwa ushagongwa na wanamme wengi sana...tangu wa zamani hadi wa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…