Kwanini wanaume wafupi tunaonewa sana?

Kwanini wanaume wafupi tunaonewa sana?

Tembosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,487
Reaction score
3,978
Short men, tunachongewa sana!
Tujiamini. huku kutuita Wanaume wasaidizi ni kutuonea sana.
IMG-20180427-WA0007.jpg
 
If unaishi kwa kutaka ukubaliwe na watu , jua utakufa siku hio hio watakayokukataa.

Jikubali.
 
Wat a gwan sis jo!!
Kampenzi kangu kananiambiaga kananipenda kwa kuwa mi mfupi sa sijui akikutana na mfupi zaidi yangu Nitaachwa?[emoji24][emoji24]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tabu ni pale mtu mfupi, anapomwambia mtu mrefu kuwa nywele zake zinanukia,
Mtu mrefu atabaki anajiuliza ni nywele gani hizi?😕😕
 
Back
Top Bottom