Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,208
MUNGU alivyoumba viumbe vyote alisema tazama vyote ni vyema Tena ni vyakupendeza. Swali la kujiuliza kwa Nini walefu wanaheshimika kuliko sisi wafupi , bila hata ya kujieleza kabisa watu walefu huonekana Bora kuliko wafupi.
Matatizo makubwa ya watu wafupi;
1. KUKOSA MOYO WA SHUKRANI
Sio kitu laisi kwa mtu mfupi kushukuru kwa Jambo lolote zuli au baya analofanyiwa , baya moja utakalo mfanyia linaweza futa mema yote uliyowai mfanyia
2. TAMAA YA MACHO
Watu wafupi tunasumbuliwa na pepo la Tamaa ya kujulikana na kuonekana mbele za watu Kama sisi ni Bora kuliko wengine, tatizo hili uzalisha matatizo madogo mengine Kama; kujipendekeza , kuongea Sana , ubishi , kiherehere , uongo
3. KUHISI TUNAONEWA / KUHISI HATUJALIWI
Tatizo hili linatutesa Sana watu wafupi , haswa kwenye mahusiano ya kijamii na kimapenzi. Tunajikuta Kila siku tunakua single na kuanza upya , hatakama wapenzi wetu watafanya mistakes ndogo tu. Hali ya kuhisi hatuwezi kupendwa inatutafuna hii ni kwa jinsia zote .
4. UVIVU
Hali ya kuona juhudi zetu watu hawazitambui inatutafuna Sana watu wafupi na kuzalisha roho ya uvivu na kujikuta tunakua na maendeleo ya midomoni.
5. KUTO KUKUBALIANA NA UHALISIA KWAMBA SISI NI WAFUPI
Ukishajua wewe ni mfupi wa kimo haina maana una uwezo mdogo wa kilakitu mfano uwezo wa kufikili vizuri, kukosa msimamo, kufanya kazi , hekima nk
USHAURI
Kuwa mfupi sio dhambi Bali ni zawadi toka kwa MUNGU kwamba upo Bora ivyo ulivyo na unaweza ukiamua kutimiza ndoto zako . INUKA NA UTHUBUTU.
Matatizo makubwa ya watu wafupi;
1. KUKOSA MOYO WA SHUKRANI
Sio kitu laisi kwa mtu mfupi kushukuru kwa Jambo lolote zuli au baya analofanyiwa , baya moja utakalo mfanyia linaweza futa mema yote uliyowai mfanyia
2. TAMAA YA MACHO
Watu wafupi tunasumbuliwa na pepo la Tamaa ya kujulikana na kuonekana mbele za watu Kama sisi ni Bora kuliko wengine, tatizo hili uzalisha matatizo madogo mengine Kama; kujipendekeza , kuongea Sana , ubishi , kiherehere , uongo
3. KUHISI TUNAONEWA / KUHISI HATUJALIWI
Tatizo hili linatutesa Sana watu wafupi , haswa kwenye mahusiano ya kijamii na kimapenzi. Tunajikuta Kila siku tunakua single na kuanza upya , hatakama wapenzi wetu watafanya mistakes ndogo tu. Hali ya kuhisi hatuwezi kupendwa inatutafuna hii ni kwa jinsia zote .
4. UVIVU
Hali ya kuona juhudi zetu watu hawazitambui inatutafuna Sana watu wafupi na kuzalisha roho ya uvivu na kujikuta tunakua na maendeleo ya midomoni.
5. KUTO KUKUBALIANA NA UHALISIA KWAMBA SISI NI WAFUPI
Ukishajua wewe ni mfupi wa kimo haina maana una uwezo mdogo wa kilakitu mfano uwezo wa kufikili vizuri, kukosa msimamo, kufanya kazi , hekima nk
USHAURI
Kuwa mfupi sio dhambi Bali ni zawadi toka kwa MUNGU kwamba upo Bora ivyo ulivyo na unaweza ukiamua kutimiza ndoto zako . INUKA NA UTHUBUTU.