Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Inferiority complex ni mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahahaHahahaha ndo maana kweny majukwaa kule unakuwa m'bishi kumbe ni anduje[emoji23][emoji23][emoji23] Sema ata Salah mbna ni mfupi tu[emoji3][emoji3]
HahahahahahahahaNaona naanza kufanukiwa kabisa ..sikuizi ufupi haunipi shida
Kwani ufupi unaanzia ngapi?
Nimekuelewa kiongozi.Ushawai kuona mkate mrefu ..zaidi utasikia mkate mdogo au mkubwa
Ningependa kujua gubu ni vitu Kama vipi tuongezee uelewaWafupi wana gubuu
Najitahidi pia kuwa hubiria wafupi wenzangu kwamba hakuna haja ya kuwa na wivu kuhusu ulefu sababu tuna extra ability tutumie kidogo tulichonacho kwa furahaMtoa mada jikubali tu,
Angalia watu kama Tyson, Messi,
Wapo wengi tu wanajikubali,,
Ila ndo ivo uwezi kuwa mlizi wa rais kama ni mfupi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio kweliWatu wafupi tuna matatizo Sana.
Na ningumu kupona ina take long time Sana kuzoeaInferiority complex ni mbaya sana
Wanadharaulika sababu wanaandika vibaya neno 'uzalauliwa'
Mkuu Pana ukweli kukosea kutype tu ndio kulete kuzalauliwaSio kitu laisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dawa ya ufupi ni kuwa na pesa tu.
Mkuu Pana ukweli kukosea kutype tu ndio kulete kuzalauliwa
Your not poor kaka[emoji22][emoji22][emoji22]poor me
MUNGU alivyoumba viumbe vyote alisema tazama vyote ni vyema Tena ni vyakupendeza. Swali la kujiuliza kwa Nini walefu wanaheshimika kuliko sisi wafupi , bila hata ya kujieleza kabisa watu walefu huonekana Bora kuliko wafupi.
Matatizo makubwa ya watu wafupi;
1. KUKOSA MOYO WA SHUKRANI
Sio kitu laisi kwa mtu mfupi kushukuru kwa Jambo lolote zuli au baya analofanyiwa , baya moja utakalo mfanyia linaweza futa mema yote uliyowai mfanyia
2. TAMAA YA MACHO
Watu wafupi tunasumbuliwa na pepo la Tamaa ya kujulikana na kuonekana mbele za watu Kama sisi ni Bora kuliko wengine, tatizo hili uzalisha matatizo madogo mengine Kama; kujipendekeza , kuongea Sana , ubishi , kiherehere , uongo
3. KUHISI TUNAONEWA / KUHISI HATUJALIWI
Tatizo hili linatutesa Sana watu wafupi , haswa kwenye mahusiano ya kijamii na kimapenzi. Tunajikuta Kila siku tunakua single na kuanza upya , hatakama wapenzi wetu watafanya mistakes ndogo tu. Hali ya kuhisi hatuwezi kupendwa inatutafuna hii ni kwa jinsia zote .
4. UVIVU
Hali ya kuona juhudi zetu watu hawazitambui inatutafuna Sana watu wafupi na kuzalisha roho ya uvivu na kujikuta tunakua na maendeleo ya midomoni.
5. KUTO KUKUBALIANA NA UHALISIA KWAMBA SISI NI WAFUPI
Ukishajua wewe ni mfupi wa kimo haina maana una uwezo mdogo wa kilakitu mfano uwezo wa kufikili vizuri, kukosa msimamo, kufanya kazi , hekima nk
USHAURI
Kuwa mfupi sio dhambi Bali ni zawadi toka kwa MUNGU kwamba upo Bora ivyo ulivyo na unaweza ukiamua kutimiza ndoto zako . INUKA NA UTHUBUTU.