Kwanini wanaume wafupi wanadharauliwa?

Ni psychologia tu mkuu na nyie wafupi kujidharau wenyewe maana muda wote mnahisi mnakuwa treated kutokana na kimo chenu
 
Mtoa mada jikubali tu,

Angalia watu kama Tyson, Messi,

Wapo wengi tu wanajikubali,,

Ila ndo ivo uwezi kuwa mlizi wa rais kama ni mfupi
Najitahidi pia kuwa hubiria wafupi wenzangu kwamba hakuna haja ya kuwa na wivu kuhusu ulefu sababu tuna extra ability tutumie kidogo tulichonacho kwa furaha
 
Hivi huu ulefu na ufupi mnaouongelea hapa ni kuhusu pesa au kimo? Maana kama ni kimo mtakuwa watu wa ajabu maana sasa ni zama za pesa na madaraka tu ndio yatakayokuondoa kwenye hiyo inferiority complex
 
Hapana mzee mi nachojua kuzauriwa na kuheshimika kunatokana na wewe umejiwekaje kwenye hiyo jamii inayokuheshimu au kukudharua so uwe mrefu ama mfupi hakikisha unaishi maisha ya kukujengea heshima na pesa ili jamii inayokuzunguka ikose sababu ya kukudharau.
Kuwa mfupi hakuleti dharau kinacholeta dharau ni muonekano wako,maneno na vitendo vyako vya kila siku.BOSS wangu ni mfupi ili ni mtu mwenye busara mpaka unamtamani yaani.
Mkuu Pana ukweli kukosea kutype tu ndio kulete kuzalauliwa
 
Tatizo si lao peke yao,,, ni la jamii nzima.
Ilianza tangu enzi hizo,,,, kakake Daudi(Eliabu) alikuwa ni mrefu kuliko Daudi, basi watu wote wakasema huyu anafaa kuwa mfalme wa Israel.



Jamii imekuwa ikitukuza vitu virefu ,,, hata wanyama,,,, Twiga anaheshimika sana(sihitaji kuweka reference)


Kwa maoni yangu, tuliache kama lilivyo,,, pengine hii ni NATURE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…