Kwanini wanaume walio wengi ni waoga kupima H.I.V?

Kwanini wanaume walio wengi ni waoga kupima H.I.V?

Hii issue nimekumbana nayo pia nimeiona sana kwa marafiki na jamii inayonizunguka wengi wakilalamikia suala la wanaume kuwa wabishi sana na waoga mno linapokuja suala la kucheki afya,ni nini hupelekea hii hali?
Mi siogopi, twende zetu tukapime pamoja.
 
Nafikiri kwao kutembelea rim ni kitu cha kawaida(wengi)
Sidhani sana, ila ninacho kifahamu mwanaume huwa ni ngumu kushawishika haraka kwa jambo lolote liwe zuri au baya.

Mfano: umefika umehubiri mtaani, ukaita watu kuslimu au kuokoka utawapata wanawake wengi kuliko wanaume.
Unaweza ukawapata wanaume 5 wanawake 20.
Baada ya mwezi mmoja kanisani au msikitini ukabaki na wanaume 4 kati ya wale 5 na wanawake 2 kati ya 20.
Wengine wamesonga mbele kwenye ushawishi zaidi.!!!
 
Hii issue nimekumbana nayo pia nimeiona sana kwa marafiki na jamii inayonizunguka wengi wakilalamikia suala la wanaume kuwa wabishi sana na waoga mno linapokuja suala la kucheki afya,ni nini hupelekea hii hali?
Punguza kwanza michepuko ..ndo tuje kudiscuss
 
Sidhani sana, ila ninacho kifahamu mwanaume huwa ni ngumu kushawishika haraka kwa jambo lolote liwe zuri au baya.

Mfano: umefika umehubiri mtaani, ukaita watu kuslimu au kuokoka utawapata wanawake wengi kuliko wanaume.
Unaweza ukawapata wanaume 5 wanawake 20.
Baada ya mwezi mmoja kanisani au msikitini ukabaki na wanaume 4 kati ya wale 5 na wanawake 2 kati ya 20.
Wengine wamesonga mbele kwenye ushawishi zaidi.!!!
Tunazungunzia kupima HIV mfano naona kama sio relevant mkuu..

Unafikiri kwenye hizo nyumba za ibada wanawake wanakuwepo kwakuwa wameathirika..hapana.wanawake tunamambo mengi mnoo yanayotusumbua mkuu..ndoa(mume),familia tulizonazo,familia za ukweni,magonjwa ya kurith,matatizo ya kurithi katika vizazi vyetu Na unakuta yote hayo anayoyapitia kiumbe mwanamke mumewe haonyeshi ushirikiano.mwisho wa siku mwanamke huyo anaona sehemu salama yakukimbilia ni katika nyumba za ibada haijalishi ni msikitini ama kanisani ambapo atapata faraja.

Mwanamke anapenda asikilizwe Na mtu Ili ashushe mzigo alioubeba.

Najaribu kuconnect aya yako ya mwisho Na uzi,nashindwa.havina connection kabisa
 
Tunazungunzia kupima HIV mfano naona kama sio relevant mkuu..

Unafikiri kwenye hizo nyumba za ibada wanawake wanakuwepo kwakuwa wameathirika..hapana.wanawake tunamambo mengi mnoo yanayotusumbua mkuu..ndoa(mume),familia tulizonazo,familia za ukweni,magonjwa ya kurith,matatizo ya kurithi katika vizazi vyetu Na unakuta yote hayo anayoyapitia kiumbe mwanamke mumewe haonyeshi ushirikiano.mwisho wa siku mwanamke huyo anaona sehemu salama yakukimbilia ni katika nyumba za ibada haijalishi ni msikitini ama kanisani ambapo atapata faraja.

Mwanamke anapenda asikilizwe Na mtu Ili ashushe mzigo alioubeba.

Najaribu kuconnect aya yako ya mwisho Na uzi,nashindwa.havina connection kabisa
Nilichikuwa namaanisha mwanamke ni rahisi kushawishika kwa jambo lolote.

Hata kupima ni kushawishika.

Wataalamu wanasema kuna madhara ya KUJUA.

Mfano, unaweza ukaishi na virus vya ukimwi kwa miaka 5 comfortable bila kufahamu.

Sasa siku unaenda kupima unagundua una virusi, from that day hali inakua mbaya na uso wa furaha unapotea.

Sasa wanawake hilo hamfikili kabisa nyie maneno yakiwaingia ni wepesi wa kurespond bila reasoning.
 
Uzi bila picha inayoonesha ubishi wa wanaume kwenye kupima haunogi.
Eeeh_mbona_anapima_sana_au_ni_anapima_uzito_%F0%9F%98%82%F0%9F%98%82.jpg
 
Back
Top Bottom