Kwanini wanaume walio wengi ni waoga kupima H.I.V?

Kwanini wanaume walio wengi ni waoga kupima H.I.V?

Hii issue nimekumbana nayo pia nimeiona sana kwa marafiki na jamii inayonizunguka wengi wakilalamikia suala la wanaume kuwa wabishi sana na waoga mno linapokuja suala la kucheki afya,ni nini hupelekea hii hali?
Pamoja na mambo mengine, Watanzania wengi hawana utaratibu wa kupima afya, mara nyingi hupima pindi wanapojihisi wagonjwa. Hivyo, hali hii huchangia pia kutokuwa na utayari pale inapohitajika kupima afya kwa lazima ilhali mtu hajihisi mgonjwa. Zingatia, pamoja na mambo mengine though!
 
Hii issue nimekumbana nayo pia nimeiona sana kwa marafiki na jamii inayonizunguka wengi wakilalamikia suala la wanaume kuwa wabishi sana na waoga mno linapokuja suala la kucheki afya,ni nini hupelekea hii hali?

Wa hivyo ni wanaume makatili sana sio kwako tuu hata kwao wenyewe, Hawajijali wala hawajui thamani yao wala hawathamini uhai. Kwahiyo hawawezi kukujaji wala kukuthamini

Kaa nao mbali
 
Mimi hata nikiumwa tu homa homa malaria huwa naona ugumu sana kwenda hata maabara kupima. Sembuse uniambie nipime UKIMWI.

Ila nitapima tu siogopi ila ni uvivu ambao ni inborn.

Oohh sorry, hata hivyo HIV/AIDs ni ugonjwa ambao haupo ni hoax.
 
Kwa asilimia kubwa anaeweza kuamua nipata ukimwi au nisipate ni mwanaume..hawa mama zetu anaweza kukukazia kuwa bila kupima sikupi au utatumia ndomu mpk tutakapo pima hahahah weee ila ukimuweka mguu pande baadaeee ndo anauliza sasa ndo. Nn kuvua ndom hujui unaweza kuniua..[emoji849]ila kwa dume ni maamuzi yako ukiamua kufa WAFWAAA
 
Hii issue nimekumbana nayo pia nimeiona sana kwa marafiki na jamii inayonizunguka wengi wakilalamikia suala la wanaume kuwa wabishi sana na waoga mno linapokuja suala la kucheki afya,ni nini hupelekea hii hali?
 
Back
Top Bottom