Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

teh teh
mkuje wanaume mjibu jamani
Mpendwa kuridhishana inategemea mazingira, usafi na hali ya afya. Lakn pia na suport tosha toka kwa huyo nyapu wako, lakn nae akiwa kifo cha mende, ukimtomasha anatoa vipepsi unategemea nn? Zaidi pia, ni muhimu mwanamke awe mbunifu ajue mahanjumati ya 6×6, jamani hata mguno mdogo tu hana utadhani una baunsa chumbani, halafu eti hatoshelezwi? Jitahdini nanyi angalau basi ili tutoke droo not otherwise.
 
Wanaume wenyewe wa siku hizi wanywa pombe kali aisee kazi ipo
 
Wewe utakua ni mario
 
Yaani uombe hela upewe usubiri na kuridhishwa?, kama mtaendelea na tabia zenu za mizinga bila shaka wanaume watakuwa wanafanya juhudi kujiridhisha wao sio kuwaridhisha ninyi maana mmesharidhika na hela mnazopewa
 
Naomba kufahamu vyakula asili ni vipi..
 
teh teh
mkuje wanaume mjibu jamani
Shunie huyo ni mwanamke au mwanamme ? Mi Sidhani kwamba mwanamke kupigwa bao nyingi ndo kuridhika.... Mi nnachojua kumwandaa mwanamke vya kutosha na baada ya hapo kurefusha safari... Mpaka Abiria aombe mwenyewe kushuka... Aseme mwenyewe 'nimefika naomba kushuka' Hapo "anapewa mizigo yake" anafunguliwa mlango na anashuka.
 
😀😀!!!!hahahaaa hapo mwanaume wa mikoani hajaambulia kitu.
Wanaume wa mikoani hatuna zero, sie vyeti halali eti, hujaona Muhimbili waliofoji vyeti, hao ni wa mikoani? Tuombe msamaha eti.
 
Ya kwako imelepweta ndo maana wanaume wanachoka mapema.paka ndimu angalau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…