Chai Maziwa
Member
- Jan 24, 2022
- 82
- 456
Nasikia eti Samaki wa pambo haliwiHabari wanaJF
Leo nakuja na swali.Imekuwa jambo la kawaida na kushangaza pale unapoona vijana mabachelor wakati wa kuoa uoa wanawake wa kawaida sana ilihali imezoelek enzi za ujana wake hasa alikuw akizichakata pisi kali sana. Hii imekaaje watalaam wa mambo.
Ni kwamba kuna wanawake wa kuliwa na wengne wa kuolewa au mnaangalia mengneyo likija swala la kuchakata na mengneyo likija suala la kuoa?
Ukienda NgoroNgoro ama Mikumi National parks pundamilia ndio ana rangi nzuri na yakuvutia kuliko Punda wa kawaida huyu anaefugwa lakin Huyo huyo pundamilia anakaa poriniHabari wanaJF
Leo nakuja na swali.Imekuwa jambo la kawaida na kushangaza pale unapoona vijana mabachelor wakati wa kuoa uoa wanawake wa kawaida sana ilihali imezoelek enzi za ujana wake hasa alikuw akizichakata pisi kali sana. Hii imekaaje watalaam wa mambo.
Ni kwamba kuna wanawake wa kuliwa na wengne wa kuolewa au mnaangalia mengneyo likija swala la kuchakata na mengneyo likija suala la kuoa?
Mwanamke primary job ni kisex hayoengine ni ziada ambayo kwanza tunaweza ishi bila mwanamke kuwa navyoPisi kali ukiondoa sex hana anachoweza
Nilichogundua wanawake wazuri wanaolewa na wanaume wapole na walio tulia kabla ya ndoa ila wanaume mcharuko wanaoa wanawake wakawaida sana sijui wanaogopa kuchapiwa.