mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Nilipewa numba nikupe?Na wewe ulinyimwa??
Tamaa shetani tunamsingizia muda mwingine. 😎Wana jf
Wanawake wapenda vituko aubwanaofanya vituko vya kushtua ndio wanawaniwa sana na wanaume. Sasa unakuta aliyefanya na Fanta au milinda anatafutwa sana mbali na kufanya ufilauni usiovumilika. Kuna siku nilienda kumwona live MamaJ, uwezi amini mgahawa wake unajaa watu, alafu wanaomba namba sana wananyimwa wananuna, sasa nikajiuliza, huyu mfanya vituko mbona anatafutwa sana kuliko wasichana wengine ambao wako huru. Vile vile ambaeut, unakuta ana wanaume wanamlilia kwa penzi.
Wanaume wanataka wanawake huru, wasio na aibu. Wengi tunaamini starehe ni ile isokua na aibu. Kuna wanaume wanasema hufurahia kufanya mapenzi na mwanamke aliyelewa kuliko yule ambae hajalewa.
Yote kwa sababu aliyelewa hana aibu
Hii inaaply pia kwa hao kina Amber ruty na mama j, hawana aibu.
Ndio maana baadhi ya makabila wanawake hufundwa na kuambiwa " when u r in the bed with ur man, sex like he is with a prostitute"
Ndio kitu wanaume tunapenda.
Kumuelewa mwanaume ni lazima uwe kichaa.Niliwahi kuwa na mpango wa kando una sura mbaya hadi najishangaa hadi leo.Wana jf
Wanawake wapenda vituko aubwanaofanya vituko vya kushtua ndio wanawaniwa sana na wanaume. Sasa unakuta aliyefanya na Fanta au milinda anatafutwa sana mbali na kufanya ufilauni usiovumilika. Kuna siku nilie days kumwona live MamaJ, uwezi amini mgahawa wake unajaa watu, alafu wanaomba namba sana wananyimwa wananuna, sasa nikajiuliza, huyu mfanya vituko mbona anatafutwa sana kuliko wasichana wengine ambao wako huru. Vile vile ambaeut, unakuta ana wanaume wanamlilia kwa pen
Ndoa ni uwanja mpana kuna vitu vingi vya kuangalia uzuri na ngono weka pembeni wengi hatuangalii hivi kwenye kuoa maana ni rahisi kupatikanaKwa hiyo wanaume wakitaka kuoa wanatafuta wanawake watulivu wasiokua na experience halafu wakishaoa wanaenda kupata sex kwa wenye experience kina Amber rutty na mamaJ🤔🤔🤔
Sasa wale mnaowaowa mnawaweka ndani watapata wapi experience? Au ndio na wenyewe wajiongeze kwenda sehemu mbalimbali na watu mbalimbali ili aibu iwaishe😂😂
Kaaazi kwelikweli
Kuna kitu hukijui bado asilimia kubwa wanaume wa kibongo tunaoa kwa ajiri ya future ya watoto na sio kujiridhisha kingono. Tungetaka kujiridhisha kingono Basi Malaya wa mjini wote wange olewa bila kusahau pisi kali zote zingewekwa ndani.Kwa hiyo wanaume wakitaka kuoa wanatafuta wanawake watulivu wasiokua na experience halafu wakishaoa wanaenda kupata sex kwa wenye experience kina Amber rutty na mamaJ[emoji848][emoji848][emoji848]
Sasa wale mnaowaowa mnawaweka ndani watapata wapi experience? Au ndio na wenyewe wajiongeze kwenda sehemu mbalimbali na watu mbalimbali ili aibu iwaishe[emoji23][emoji23]
Kaaazi kwelikweli
Yaani point yako imebeba huzi huu. Kuna siku mwanaume anakuwa na genye nyingi kiasi kwamba kwa mke wake mrembo na mlegevu awezi kumtosha, anatafuta mtu wa kukamua mbesela mpaka ziishe, ndipo hisia zake anatafuta mkurumbembe la hatari, pale inakuwa kama vita maana aangalii sura tena ,yeye ni kushughulikia machine tu.Kuna kitu hukijui bado asilimia kubwa wanaume wa kibongo tunaoa kwa ajiri ya future ya watoto na sio kujiridhisha kingono. Tungetaka kujiridhisha kingono Basi Malaya wa mjini wote wange olewa bila kusahau pisi kali zote zingewekwa ndani.
Tunaangalia mwanamke ambaye anaweza kuchunga watoto na kuwa mfano kwao ili badae wakikua waanze kuimba hakuna Kama mama [emoji1][emoji1] na kumsahau baba yao Alie tumia muda mwingi kupembua wanawake ili apate sehemu Bora ya kumwaga mbegu zake
Hata mimi mwanamke mkavu bila kumpa Savana mbili senior bwana, angalau anyway hata bia safari mbili hapo unapeleka moto naye anashusha kuni mpaka mkimaliza jasho utadhani mlilowekwa kwenye omoWanaume wanataka wanawake huru, wasio na aibu. Wengi tunaamini starehe ni ile isokua na aibu. Kuna wanaume wanasema hufurahia kufanya mapenzi na mwanamke aliyelewa kuliko yule ambae hajalewa.
Yote kwa sababu aliyelewa hana aibu
Hii inaaply pia kwa hao kina Amber ruty na mama j, hawana aibu.
Ndio maana baadhi ya makabila wanawake hufundwa na kuambiwa " when u r in the bed with ur man, sex like he is with a prostitute"
Ndio kitu wanaume tunapenda.