Kwanini wanaume wanawachukia sana wanawake?

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Mwanaume akitaka kumshusha thamani mwenzake atamuita jina la mwanamke, viungo vya mwanamke au kumpa sifa au hulka za wanawake kama namna ya kumuaibisha, kumtusi au kuonyesha udhaifu wake.

Naona limekua jambo la kawaida hasa huku mitandaoni na hata huko nje kwenye jamii zetu. Naomba nisaidiwe kuelewa, nini kimesababisha tufike hapa? (hasa kwa vijana) na kama si chuki, je wewe unaona ni nini?
 

Attachments

  • IMG_0873.jpeg
    111.1 KB · Views: 3
pia sio chuki wanawake mnauwezo mdogo mnoo wa kufikiri na sijawahi kumuona asiye na mapungufu hata awe bora kiasi gani kwenye jambo gani ila kwenye kufikiri hamjawahi kuwazidi wanaume hata ukizaa mtoto wa kiume akibalehe ataanza kufata msimamo wa kuishi nao kwa akili kwani atayaona mapungufu ya kuwa mwanamke
 
Mfumo wa dunia unajenga chukia baina ya mwanamke na mwanaume ili kuondoa kitu kinaitwa Familia ambayo ndo kusudi la Muumba.

Mwanamke akifanikiwa anamdharau mwanaume na mwanaume akifanikiwa akaoa anapigwa za uso ili aone wote walewale inakuwa ni mwendo iwe kama paka na panya yaani no peace.
 
Tabia
Miendendo
Hurka

Ndizo zinazofanya Wanaume wawadharau Wanawake kwenye ulimwengu huu.

Ila sio kila Mwanamke anadharauliwa au kudharaulika ila wanao jifunga nisha na Umalaya wenyewe wanaitwa kudanga, kupata sponsa, kupe wa mjini kwamba mwanaume akifulia wanamkimbia.
Wewe unaanzisha mahusiano kwa lengo la furaha na familia, yeye anawaza atapata nini.Wachawi na washirikina.

Unadhani wanastahili heshima?
 
Mkuu huu utafuti ulifanya lini mpaka ukaja na hitimisho kama hili? Research is Science ujue
 
Mwanamke ni mama yangu, dada angu, mke wangu, Binti yangu, shangazi yangu
Sasa nitamchukia mwanamke Kwa sababu gani?
 
Aliumbwa kwa ubavu wa mwanaume just imagine! do you think udongo ulipungua!
Sio chuki
 
Maneno mawili tu;

MFUMO DUME.

Je, ni mbaya? Sijui. Umeanzaje? Sijui.

Wanawake wanakubaliana nao? Wengi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ