Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
- Thread starter
-
- #221
Unajua nn nilikuwa sitaki kwenda huko lakini nimeketi nikafikiri naona nikupe jibu Eli79 !Hoja ndogo zinaibuka ndani ya mjadala, huwezi kuweka dimension moja watu kujadili bwana. Acha tuwe huru kujadili the way we feel like.
Kama mwanamke huyohuyo anafanya kazi 100% akirudi nyumbani akuhudumie we bwana mkubwa unaetaka mfumo dumo yaani apike sijui akukurike na mtoto na mazagazaga yote lazima ujue ANACHOKA wakati ww umeketi umeshakula msosi umenyoosha miguu upo mtandaoni au umeshika remote control umepumzika umepata nguvu hata ya kudai hio mbususu yako unategemea kweli mwanamke huyohuyo atajisikia kukupa ww hio mbususu?hata ham atakuwa nayo?
Ingali kama ungemsaidia angekuwa walau na nguvi za kukupa hio huduma!
Tafadhali saidieni wake zenu ilimfurahie hizi ndoa.Wanawake sio mapunda au watumwa alaa!!