Ushaona wapa mtu anapeleka invoice kabla ya Kazi kufanyika na kukubalika ...toeni mzigo ndo invoice zifuateWataachaje kulalamika usaw huu a hiv vi slay queen..unapoonea navyo inabid uwe na calculator na dictionary pemben...
Vingereza viiiingi mwisho w siku invoice [emoji23][emoji23][emoji23][emoji39]
Wewe mtoa mada soma unielewe .ukiona mwanaume hatimizi wajibu wake kwenye ndoa tambua huyo mkewe hapendi na sio chaguo lake au kamchoka, kwa sababu kila mwanaume anandoto ya kuja kuwa na mke bora mbali na kuwa na ndoto hiyo pia kuja kuwa baba atayehudumia familia yake ndio maana wanaume wengi wanapoteza maisha kwa ajili ya familia zao za sasa au baadae.sasa shida inaanza pale mwanamke anapoanza kumforce mwanaume na kuanza kutumia nguvu,kwa mfano unakuta demu anategesha mimba au anamloga mwanaume ili aolewe halafu baadae unalalamika wanaume hatimizi majukumu.tuachane na hao tuje kwa wanawake wanao wish kuwa baba wa familia yani unakuta mke anataka aonekane yeye anacommand nyumba nzima bila kujua kufanya hivo kuna ambatana na kuhidumia familia hapo ndio wanaume tunaacha kutimiza majukumu maana mtu akifikilia yani yeye alishe familia halafu eti command power tushare hapo ndio tunaona kama utumwaWanaume wa sasa mna matatizo gani haswa maana sielewi tatizo lenu ni kwamba hamtaki mabadiliko au akili zimeelemea kwenye mfumo dume au ni nini hasa?Hamna lilo la kheri kwenu,wanaume hamuishi malalamiko mnaongea hata kuwazidi wanawake, maana najua mwanamke ni itikadi yake kupenda kuongea.
Wanaume nyinyi wa karne hii mnataka mtu kama bibi zetu(kitabia na anavyojiweka) na wakati huohuo mnataka mwanamke aliyeelimika,mpenda maendeleo,mchapa kazi n.k ili musaidiane majukumu.
Mnasahau kama bibi zetu jukumu lake kubwa lilikuwa kujenga familia.Kama mwanamke anaingiza kipato kama ww au ikiwezekana kukuzidi wewe mwanaume usitegemee upewe treatment na mwaka 47 lazima mfumo mzima wa maisha ubadilike!
Hii ni 2021 inabidi mubadilike muendane na wakati uliopo waungwana!
Ninachojiuliza hasa ni kwamba mna hofu mkiwa na mwanamke aliyeelimika atawapa changamoto nyingi kwasababu amepambazuka akili na ana upeo wa kufikiri tofauti na ambaye hana elimu?na hamtoweza kumwambia lolote tu akubali bila kutaka kujua kwanini?
Je hilo litapunguza heshima kwenu au litaondoa uanaume wenu?
Tusisahau pia wanawake haohao wachapakazi ndo wanaozaa na kujenga familia kumaanisha wanabeba mzigo mzito kuliko hata wa mwaka 47!
Tuchukulie women empowerment ni kitu chenye manufaa kwa mwanamke na mwanaume na tuache kukandamiza wanawake kwasababu wamepata sauti na kuerevuka!
Tafadhali nahitaji michango ya watu mnaojielewa.Ahsanteni na karibuni!
Nimekuelewa lakini mpaka sasa ninavyoona mabadiliko katika maendeleo ya wanawake yamekuwa threat kubwa sana kwa wanaume hasa hili kundi ambalo hawaeshi kulalamika!Wewe mtoa mada soma unielewe .ukiona mwanaume hatimizi wajibu wake kwenye ndoa tambua huyo mkewe hapendi na sio chaguo lake au kamchoka, kwa sababu kila mwanaume anandoto ya kuja kuwa na mke bora mbali na kuwa na ndoto hiyo pia kuja kuwa baba atayehudumia familia yake ndio maana wanaume wengi wanapoteza maisha kwa ajili ya familia zao za sasa au baadae.sasa shida inaanza pale mwanamke anapoanza kumforce mwanaume na kuanza kutumia nguvu,kwa mfano unakuta demu anategesha mimba au anamloga mwanaume ili aolewe halafu baadae unalalamika wanaume hatimizi majukumu.tuachane na hao tuje kwa wanawake wanao wish kuwa baba wa familia yani unakuta mke anataka aonekane yeye anacommand nyumba nzima bila kujua kufanya hivo kuna ambatana na kuhidumia familia hapo ndio wanaume tunaacha kutimiza majukumu maana mtu akifikilia yani yeye alishe familia halafu eti command power tushare hapo ndio tunaona kama utumwa
Huwezi ukalilia 50/50 at the same time ushangae wanaume kusahau majukumu yao ..sasa ushataka usawa ...ukiachiwa majukumu uanze kulaumu tena ??Usifikiri ukitukana utabadilisha kitu.Wewe kama ni mwerevu sana mchango wako umeleta manufaa gani?
Hukuwa na haja ya kuchangia kwasababu naona na ww ni mmojawapo wasiojielewa!
Tunajua tunachokitaka tatizo nyinyi ndio mnataka too much than what you can chew!Inabidi mpunguze expectations zenu kwasababu kama ni mwendo wa 50/50 mwanamke anabeba mzigo mzito zaidi inapaswa aheshimiwe kwa hilo na isiwe chanzo cha yeye kukandamizwa kwasababu ana haki zake!Huwezi ukalilia 50/50 at the same time ushangae wanaume kusahau majukumu yao ..sasa ushataka usawa ...ukiachiwa majukumu uanze kulaumu tena ??
Hv utakua na akili timamu ??
.Siku mkijua mnachotaka ...ndo utakua mwisho wa matatizo....
50 to 50 kiufupi huo mfumo haumsaidii mwanaume chochote ndio maana tunaupinga kwa nguvu zote kama unaweza nitajie faida yoyote ya huo mfumo kwa mwanaume pekee .hebu fikiria wewe binafsi unaenda kila siki kazini kila siku unakutana na changamoto za kila siku halafu kuna mtu anataka mgawane 50 to 50 mshahara wako tena anatake yeye akupande na kucommand matumizi yako.hapo jinsi unavyojisikia hiyo hali ya kuonewa na utumwa ndivyo wanaume tunavyohisi usidhani sisi tuna moyo wa uchuma wa kuvumilia upumbavuUzi huu unagusia sehemu tofauti rafiki....kwasababu vyote vinategemeana na kimoja kinasababishwa na kingine 50/50 haitokuwa applicable kama wanaume wanataka mfumo dume! Ili 50/50 ifanye kazi watu wenye fikra za mfumo dume inabidi wabadilike!
Swala la wazee kutotaka kupeleka watoto shule unamaanisha kwa jinsia zote mbili au jinsia mmoja?
Nadhani vyovyote ningeileta hii mada mawe yangerushwa tu ni kawaida!Mm nimekuelewa kama ulivomaanisha kilichofanya watu wakutupie mawe ni ww kuzungumzia kwaujumla
Samahani nadhani itabidi tueleweshane 50/50 ndo inagawanywa vipi kwa uelewa wangu mimi ni kwamba mnasaidiana majukumu ukichangia ya kifedha nusu kwa nusu yaani ww mfano unalipa pango nusu na mwenzio analipa nusu hio ndio 50/50 ninayoongelea mimi na mabaki mtajadiliana yanatumika vp aidha kama mnaweka akiba au kila mtu anaweka zake mfukoni n.k!50 to 50 kiufupi huo mfumo haumsaidii mwanaume chochote ndio maana tunaupinga kwa nguvu zote kama unaweza nitajie faida yoyote ya huo mfumo kwa mwanaume pekee .hebu fikiria wewe binafsi unaenda kila siki kazini kila siku unakutana na changamoto za kila siku halafu kuna mtu anataka mgawane 50 to 50 mshahara wako tena anatake yeye akupande na kucommand matumizi yako.hapo jinsi unavyojisikia hiyo hali ya kuonewa na utumwa ndivyo wanaume tunavyohisi usidhani sisi tuna moyo wa uchuma wa kuvumilia upumbavu
Sawa kila mtu ana chaguo lake we nenda kwa wasioelimika yaani wanaokuwa 100% housewives .Waachie uzi wachangie unaowahusu!nimeishia hapo uliposema wanaume wanahitaji wanawake wachapakazi walioelimika ili kusaidiana majukumu...Mimi sihitahiji mwanamke mchapa kazi wala aliyeelimika
Ingekua mnajua mnachotaka ,huu Uzi usingeuanzisha ...eti mwanamke anabeba majukumu mengi ...HV ushapewa 50/50. .hayo majukumu mengi zaid ya mwanamke ni yapi ?? unajua maana ya usawa au unalalamika tuu ...Mnataka mfanyiwe nn ndo mridhike ... ..Tunajua tunachokitaka tatizo nyinyi ndio mnataka too much than what you can chew!Inabidi mpunguze expectations zenu kwasababu kama ni mwendo wa 50/50 mwanamke anabeba mzigo mzito zaidi inapaswa aheshimiwe kwa hilo na isiwe chanzo cha yeye kukandamizwa kwasababu ana haki zake!
Nadhani huu uzi unawakera hasa wanaume ninaowaongelea!Ingekua mnajua mnachotaka ,huu Uzi usingeuanzisha ...eti mwanamke anabeba majukumu mengi ...HV ushapewa 50/50. .hayo majukumu mengi zaid ya mwanamke ni yapi ?? unajua maana ya usawa au unalalamika tuu ...Mnataka mfanyiwe nn ndo mridhike ... ..
Mnataka usawa lakini in reality usawa hamuuwezi ...
Tafsiri ya usawa n kwamba kila kitu Uwe unajitegemea mwenyewe hata Kwenye sex pasiwe na maandizi ujiandae mwenyewe .. ..
Wanaume hayo mabadiliko hayatutishi maana kwa kiasi kikubwa tumechangia wenyewe tena tumeyaruhusu wenyewe kwa moyo mkunjufuNimekuelewa lakini mpaka sasa ninavyoona mabadiliko katika maendeleo ya wanawake yamekuwa threat kubwa sana kwa wanaume hasa hili kundi ambalo hawaeshi kulalamika!
Point nzuri.Samahani nadhani itabidi tueleweshane 50/50 ndo inagawanywa vipi kwa uelewa wangu mimi ni kwamba mnasaidiana majukumu ukichangia ya kifedha nusu kwa nusu yaani ww mfano unalipa pango nusu na mwenzio analipa nusu hio ndio 50/50 ninayoongelea mimi na mabaki mtajadiliana yanatumika vp aidha kama mnaweka akiba au kila mtu anaweka zake mfukoni n.k!
Wanaume wa sasa mna matatizo gani haswa maana sielewi tatizo lenu ni kwamba hamtaki mabadiliko au akili zimeelemea kwenye mfumo dume au ni nini hasa?Hamna lilo la kheri kwenu,wanaume hamuishi malalamiko mnaongea hata kuwazidi wanawake, maana najua mwanamke ni itikadi yake kupenda kuongea.
Wanaume nyinyi wa karne hii mnataka mtu kama bibi zetu(kitabia na anavyojiweka) na wakati huohuo mnataka mwanamke aliyeelimika,mpenda maendeleo,mchapa kazi n.k ili musaidiane majukumu.
Mnasahau kama bibi zetu jukumu lake kubwa lilikuwa kujenga familia.Kama mwanamke anaingiza kipato kama ww au ikiwezekana kukuzidi wewe mwanaume usitegemee upewe treatment na mwaka 47 lazima mfumo mzima wa maisha ubadilike!
Hii ni 2021 inabidi mubadilike muendane na wakati uliopo waungwana!
Ninachojiuliza hasa ni kwamba mna hofu mkiwa na mwanamke aliyeelimika atawapa changamoto nyingi kwasababu amepambazuka akili na ana upeo wa kufikiri tofauti na ambaye hana elimu?na hamtoweza kumwambia lolote tu akubali bila kutaka kujua kwanini?
Je hilo litapunguza heshima kwenu au litaondoa uanaume wenu?
Tusisahau pia wanawake haohao wachapakazi ndo wanaozaa na kujenga familia kumaanisha wanabeba mzigo mzito kuliko hata wa mwaka 47!
Tuchukulie women empowerment ni kitu chenye manufaa kwa mwanamke na mwanaume na tuache kukandamiza wanawake kwasababu wamepata sauti na kuerevuka!
Tafadhali nahitaji michango ya watu mnaojielewa.Ahsanteni na karibuni!
Basi kama ni hivyo haina shida ila kama hauchangii chochote halafu unadai 50 to 50 hapo hata shetani anakushangaa maana tangu mwazo provider ndio anatawalaSamahani nadhani itabidi tueleweshane 50/50 ndo inagawanywa vipi kwa uelewa wangu mimi ni kwamba mnasaidiana majukumu ukichangia ya kifedha nusu kwa nusu yaani ww mfano unalipa pango nusu na mwenzio analipa nusu hio ndio 50/50 ninayoongelea mimi na mabaki mtajadiliana yanatumika vp aidha kama mnaweka akiba au kila mtu anaweka zake mfukoni n.k!
SIJAKURUPUKA naona wewe ndio unajitoa fahamu!!Kwasababu unaepuka kujibu kila nilokuuliza!
Wapo kama unajizungumzia jizungumzie wewe usijumuishe wote!
Heshima sio tatizo mbona lakini je unastahiki hio heshima au uheshimiwe tu kwasababu mwanaume au umeoa?Heshima inatakiwa iwepo pande zote!