Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Kumekuwa na kasumba ya wanaume wa umri mkubwa kuruka na mabinti wadogo umri wa binti zao kingono. Jamii kwasasa imeikubali hii tabia na kuifanya kuwa ni sehemu ya maisha ya kawaida wakati si sawa.
Ukichunguza utaona hawa wanaume wanatarget watoto ambao hawakustahili kabisa kuingia kwenye maswala ya ngono kwa umri wao. Mimi binafsi mara kadhaa nimeona boda boda umri wa mtu mzima kabisa wakitongoza kabinti umri wa miaka 15,16 na 17.
Huko kwenye mabar na nyumba za starehe nenda utajionea watoto wa kike umri wa form 2 wakijivinjali na watu umri sawa na wajomba au baba zao. Huko kwenye lodges na Guests Houses ndio kabisa.
Waungwana hujiuliza shida ni nini hadi wanaume kuwa na tamaa ya kingono juu ya miili ya watoto wadogo tena umri wa watoto wao au wajukuu.
Jibu ni simple. Hawa watu wanapitia hali ya kisaikolojia ya kutaka kufidia walichokosa wakati walipostahiki kupata. Wanaume wengi kwasasa wanakutana na mwanamke umri ukiwa umeenda na ameshaliwa na wanaume zaidi ya 50 na huyu ndie akawe mke wake.
Mwanaume hakuwa na hatawai kuja kuridhika au kutosheka au kumpenda ya dhati mwanamke ambaye amemkuta tayari akiwa amekwisha ingiliwa na wanaume wengine kabla yake na hii humpa hali ya kujiona si wa thamani na kutaka kufidia hiyo hasara kwa mabinti kama payback au compensation.
Kadiria wanawake wanavyoziweka bikra zao rehani kwa wanaume ambao hawatakuja kuolewa nao ndipo watoto wetu wa kike watazidi kuingiliwa na wanaume mabazazi katika umri wa utotoni yaani innocence. Wanaume anatafuta ule ushindi wa kufungua mali mpya ili ajiskie vizuri na hiki huwa wanakikosa katika umri wakiwa wadogo wakijitafuta sababu wanawake huwakwepa kwa sababu za kipuuzi sana kama kukosa hela.
Rai kwa wanaume, tujitathimini sana eneo hili na kama ikibidi basi tupate msaada wa ushauri nasaha ili kutibu maumivu ya uonevu tuliofanyiwa na wanawake kipindi hatuna hatia yoyote na wakatunyima heshima ya kuziona bikra zao wakatuachia miili iliyotumika na yenye kila aina ya mikosi inayokuja kutuandama tunapoingia nao kwenye mahusiano huku ukubwani.
Kwa wanawake mjitathimini matendo yenu ambayo ninyi ndio wasababishi na chanzo. Katika umri mdogo say wa miaka 16 binti huna haja wala sababu ys kutaka mwanaume aliyekuzidi umri,pesa na kadhalika ili kufanikiwa, unahitaji boyfriend ambaye mtajenga maisha pamoja.
Hizi tamaa za kuweka miili rehani ili udange upate chochote ndio mwanzo wa kuanzisha trend za kipuuzi kama hii ya wanaume kutaka watoto wadogo kwasababu ninyi mliwakataa katika umri sahihi wa mahusiano enzi za uchanga.
Kwa kifupi kwenye hili wanawake ninyi ndio primary source na kisababishi kikuu na wanaume wanaingia kama victim wa matendo waliyofanyiwa awali kabla hawajawa watu wazima.
Hebu mjitathimini.
Ukichunguza utaona hawa wanaume wanatarget watoto ambao hawakustahili kabisa kuingia kwenye maswala ya ngono kwa umri wao. Mimi binafsi mara kadhaa nimeona boda boda umri wa mtu mzima kabisa wakitongoza kabinti umri wa miaka 15,16 na 17.
Huko kwenye mabar na nyumba za starehe nenda utajionea watoto wa kike umri wa form 2 wakijivinjali na watu umri sawa na wajomba au baba zao. Huko kwenye lodges na Guests Houses ndio kabisa.
Waungwana hujiuliza shida ni nini hadi wanaume kuwa na tamaa ya kingono juu ya miili ya watoto wadogo tena umri wa watoto wao au wajukuu.
Jibu ni simple. Hawa watu wanapitia hali ya kisaikolojia ya kutaka kufidia walichokosa wakati walipostahiki kupata. Wanaume wengi kwasasa wanakutana na mwanamke umri ukiwa umeenda na ameshaliwa na wanaume zaidi ya 50 na huyu ndie akawe mke wake.
Mwanaume hakuwa na hatawai kuja kuridhika au kutosheka au kumpenda ya dhati mwanamke ambaye amemkuta tayari akiwa amekwisha ingiliwa na wanaume wengine kabla yake na hii humpa hali ya kujiona si wa thamani na kutaka kufidia hiyo hasara kwa mabinti kama payback au compensation.
Kadiria wanawake wanavyoziweka bikra zao rehani kwa wanaume ambao hawatakuja kuolewa nao ndipo watoto wetu wa kike watazidi kuingiliwa na wanaume mabazazi katika umri wa utotoni yaani innocence. Wanaume anatafuta ule ushindi wa kufungua mali mpya ili ajiskie vizuri na hiki huwa wanakikosa katika umri wakiwa wadogo wakijitafuta sababu wanawake huwakwepa kwa sababu za kipuuzi sana kama kukosa hela.
Rai kwa wanaume, tujitathimini sana eneo hili na kama ikibidi basi tupate msaada wa ushauri nasaha ili kutibu maumivu ya uonevu tuliofanyiwa na wanawake kipindi hatuna hatia yoyote na wakatunyima heshima ya kuziona bikra zao wakatuachia miili iliyotumika na yenye kila aina ya mikosi inayokuja kutuandama tunapoingia nao kwenye mahusiano huku ukubwani.
Kwa wanawake mjitathimini matendo yenu ambayo ninyi ndio wasababishi na chanzo. Katika umri mdogo say wa miaka 16 binti huna haja wala sababu ys kutaka mwanaume aliyekuzidi umri,pesa na kadhalika ili kufanikiwa, unahitaji boyfriend ambaye mtajenga maisha pamoja.
Hizi tamaa za kuweka miili rehani ili udange upate chochote ndio mwanzo wa kuanzisha trend za kipuuzi kama hii ya wanaume kutaka watoto wadogo kwasababu ninyi mliwakataa katika umri sahihi wa mahusiano enzi za uchanga.
Kwa kifupi kwenye hili wanawake ninyi ndio primary source na kisababishi kikuu na wanaume wanaingia kama victim wa matendo waliyofanyiwa awali kabla hawajawa watu wazima.
Hebu mjitathimini.