Kwanini wanaume wazuri hawajui mapenzi

Jamani Mimi nimeandika kujifurahisha maana sio Mimi ila nimeandika kupitia wenzangi Wa naongea
Kupitia watu wakaribu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ngoja waje hao wazuri wacomferm unachokisema
 
Nikuambie kitu, usijaribu usichana wako kwa kutembea na wanaume tofauti.

Chagua mmoja, use na future nae. Mtafundishana jinsi ya kuridhishana.

Hamna aliezaliwa anajua mapenzi.
Hakuna kosa kubwa kama msichana kuchovwachovywa na kila mwanaume hasa kama anamalengo yakuwa na familia, uzoefu wa wanaume wengi utamponza aidha kutokuolewa kwasababu ya kumtafuta fundi wa kitanda au hatodumu ktk ndoa kwakuwa haridhishwi kirahisi na mumewe kutokana na wanaume aliokwisha kukutananao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka picha Doris

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshatembea na wangapi ukapata hiyo sample ya research yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikuambie kitu, usijaribu usichana wako kwa kutembea na wanaume tofauti.

Chagua mmoja, use na future nae. Mtafundishana jinsi ya kuridhishana.

Hamna aliezaliwa anajua mapenzi.
Huwa nawakumbuka sana dada zangu wapendwa mana kuna baadhi ya vitu kama hivi huwa navikosa kutoka kwenu.

King'asti , Heaven on Earth , ICHANA , Honey Faith , farkhina , Husninyo na wengineo wengi.

Muwe mnakuja mara mojamoja kama hivi basi jamani. Lol
 
sasa kama hana interest na wewe atakuridhishaje?we anakufanya chapa ilale tu
 
Ngoja waje wanaopenda wanaume wazuri na wanaume wazuri wenyewe wakupe jibu
 
Nikuambie kitu, usijaribu usichana wako kwa kutembea na wanaume tofauti.

Chagua mmoja, use na future nae. Mtafundishana jinsi ya kuridhishana.

Hamna aliezaliwa anajua mapenzi.
Sawa kabisa mkuu,mapenzi ni kufundishana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…