Kwanini wanaume wengi hampaki makalio yenu mafuta

Mbona wamama kimia? Tusaidie kutukumbusha tunapotika home
 
Dah!!hii hatari
 
Mimi naoga nikitaka kutoka au kulala bila hivyo na stay tu, baada ya kuoga sijifuti maji labda niwenaharaka baada ya hapo na vaa alafu ndio napaka mafuta kwenye mikono na usoni , kwenye miguu only kama nina mpango wa kuvaa bukta tu.
 
hakuna cha mjadala wa saloon hapo,,mama utakua umeona makalio mengi sana ya wanaume,,,hongera,,nakupongeza kwa utafiti maana hata mm cpakagi,,cna huo muda wa kuremba tako,,namrembea nani wakati hakuna anaeweza kuliona,,sio mke wala nani,,mm ndio nayaona ya mke ila mke haoni ya kwangu labda kwa dharura gani cjui,hii biashara ya kukaguana tako inakujaje jmn?
 
Ni kwamba hata mafuta unapaka ukishavaa nguo zote
 
Hiyo siyo Kwaajili ya kujiremba sasa, kwa mwanaume kujipaka mafuta kwenye makalio yake haipendezi kabisa
 
Mi binafsi sijawahi chunguza kalio langu huwa najua liko sawa sababu naoga vizuri.

Kwa style zote nazochezaga nazo kitandani haipo ambayo mwanamke ataona kalio langu labda nikiwa naenda toilet kutoka kitandani na hakuna kitu nsichokipenda kama kushikwa kalio wakati wa kazi.
 
Mwanaume halisi kabsaa unapaka kalio mafuta!! Labda hawa wa kizazi Cha bongofleva wanaotamani Sana wawe na mwonekano wa kike zaidi na sauti nyororo ilhali anaposses balls. Sie tuliokuwa watoto enzi za mwalimu tulikuta wanaume wanaoga mtoni na Wanapaka sabuni Sio mafuta, hakuna kitana ni kilazio unalaza nywele zote nyuma maana ule ulikuwa wakati wa Afro. Inatupia shati lako la Juliana bugaluu lako au kigozi, dengriz au kodrai chini laizoni ngazi tatu na sun gogosi (miwani myeusi mikubwa) ukitoka kitaani mademu wote wako. Siku hizi unakutana na kakijana kana tinda mpaka nyusi!!
 
Siyo tu yamepauka, foolishly ,madam -by sitting down has turned my bottom raven black😕
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…