Kwanini wanaume wengi siku hizi hupenda sana kubeba mafuta ya mgando mifukoni?

Ni kawaida kukuta kikopo kidogo cha mafuta ya rays chumbani kaunta au kwenye korido za gesti zetu uswazi, hivi kweli yanatumika kwa matumizi yaliyokusudiwa au kuna la ziada?
Topiki kama hii nenda kawaulize hao hao ndugu zako wa huko huko uswahilini. Watakupa majibu kwa nini wanatunza hayo mafuta ya rays kwenye hizo nyumba za wageni.
 
Jipake sehemu hiyo hiyo unayowaza halafu anza kupiga kelele ukibana pua, utapata unachotaka. Hovyo kabisa mitoto mingine
 
Topiki kama hii nenda kawaulize hao hao ndugu zako wa huko huko uswahilini. Watakupa majibu kwa nini wanatunza hayo mafuta ya rays kwenye hizo nyumba za wageni.
Kwahiyo JF sio ya waswahili? Akili nyingine upuuzi mtupu
 
Bila shaka ni wanaume wa Dar hao huku Ar Chuga huwezi kuona machalii wana hayo makitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…