Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,272
Itakua kuna kazi amezoea kusikia inafanyika kwa hayo mafuta, ila kusema inamuwia vigumukumbe ni mafuta ya Rays nilidhani KY! kwani wewe Kizibo 1 hujui matumizi ya mafuta ya mgando ya kupaka mwili wa binadamu?
tehe tehe afunguke tu hahahahahItakua kuna kazi amezoea kusikia inafanyika kwa hayo mafuta, ila kusema inamuwia vigumu
Ina maama hujui kazi ya mafuta??Usilete kashfa tafadhali huo ujinga umewaza wewe sio mimi. Sipendi upuuzi usinichokonoe
Kwani hapa nimeandika vingine?Umeona mafuta tu! Ama ulikua bize kutumia mafuta vingine hukuviona.
Rejea nilichoandikaIna maama hujui kazi ya mafuta??
Topiki kama hii nenda kawaulize hao hao ndugu zako wa huko huko uswahilini. Watakupa majibu kwa nini wanatunza hayo mafuta ya rays kwenye hizo nyumba za wageni.Ni kawaida kukuta kikopo kidogo cha mafuta ya rays chumbani kaunta au kwenye korido za gesti zetu uswazi, hivi kweli yanatumika kwa matumizi yaliyokusudiwa au kuna la ziada?
Mimi nimeuliza sasa wewe kafanye kama ulivyowaza wewe sio mimiJipake sehemu hiyo hiyo unayowaza halafu anza kupiga kelele ukibana pua, utapata unachotaka. Hovyo kabisa mitoto mingine
Kwahiyo JF sio ya waswahili? Akili nyingine upuuzi mtupuTopiki kama hii nenda kawaulize hao hao ndugu zako wa huko huko uswahilini. Watakupa majibu kwa nini wanatunza hayo mafuta ya rays kwenye hizo nyumba za wageni.
Wewe usisumbue watu, chukua hayo mafuta nitafuteMimi nimeuliza sasa wewe kafanye kama ulivyowaza wewe sio mimi
Unaona ulivyo mpuuzi wa kiwango cha juu kama jina jina lako, natamani mamaako angeona unajiita nani hapa jfWewe usisumbue watu, chukua hayo mafuta nitafute
Kuchkonoa nn tenaUsilete kashfa tafadhali huo ujinga umewaza wewe sio mimi. Sipendi upuuzi usinichokonoe
Isome kama ilivyoKuchkonoa nn tena